Hivi kuna wimbo mzuri wa mapenzi na mahusiano wa Kiswahili mzuri na wenye ujumbe konki kuliko huu?

kumbe wewe ni lishangazi la kitambo
Kuupenda wimbo ndio kua lishangaziπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‹
 
sasa wimbo si wa zamaniπŸ˜‚
 
Jaman jaman akuuuuuuuuuu nitue Babu eeeπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‹
kwa hii taste ya mziki utapata sponsa lenye hela kweli??πŸ˜‚
 
Kuna ule wimbo wa the kilimanjaro band "mpenzi wangu naomba nikueleze pendo langu lililo moyoni mmh moyoni mwangu, mapenzi niii kuheshimiana nami mpenzi nimekuheshimuuu"🎡🎼

Anyway nimeachwa sitaki tena maswaliiii, naenda beach kula upepo wa bahari, naumwagilia moyo mziki kwa mbaliiii, jimbo lipo wazi sema nitakubali.

Unantaka basi ntongozeeee🎡🎼🎼🎼🎼
 
Mzuri ila verse hazijaa maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…