Hivi kuvalishana pete za uchumba ni lazima kuwe na wageni waalikwa pamoja na sherehe?

Hivi kuvalishana pete za uchumba ni lazima kuwe na wageni waalikwa pamoja na sherehe?

Mvalishe hata sehemu tu yenye watu wengi kwa kumshitukiza kama una ujasiri, sehemu kama vile kazini, sokoni nk (yaani kiufupi sehemu zile zenye watu wengi)

NB:Fanya hivyo kama una uhakika anakupenda kweli, kama anakuigizia mapenzi anaweza akakuacha solemba mbele za Raia na hivi hauna hata usafiri private, utakuwa unatembea kuondoka eneo la tukio huku unatamani upotee gahfla tu[emoji23].

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha et apotee ghafla [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mvalishe hata sehemu tu yenye watu wengi kwa kumshitukiza kama una ujasiri, sehemu kama vile kazini, sokoni nk (yaani kiufupi sehemu zile zenye watu wengi)

NB:Fanya hivyo kama una uhakika anakupenda kweli, kama anakuigizia mapenzi anaweza akakuacha solemba mbele za Raia na hivi hauna hata usafiri private, utakuwa unatembea kuondoka eneo la tukio huku unatamani upotee gahfla tu[emoji23].

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kwa wabongo mhhh sijui, jamaa anaweza kula za chembe tukamsahau😀.
 
Mvalishe hata sehemu tu yenye watu wengi kwa kumshitukiza kama una ujasiri, sehemu kama vile kazini, sokoni nk (yaani kiufupi sehemu zile zenye watu wengi)

NB:Fanya hivyo kama una uhakika anakupenda kweli, kama anakuigizia mapenzi anaweza akakuacha solemba mbele za Raia na hivi hauna hata usafiri private, utakuwa unatembea kuondoka eneo la tukio huku unatamani upotee gahfla tu[emoji23].

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu imebidi nicheke tu, kwamba unaweza kuwa unatembea unatamani upotee ghafla
 
Eeeh,maana aibu yake ni noma,bora hata uwe na gari private ukiingia ukafunga milango unatoweka faster , ila kwakutembea utakula maneno ya shombo na vicheko hadi ukome.
Ofcourse mkuu unachosema ni kweli, so ni bora muelezane kwanza kama anakuigizia ujue akatae ieleweke.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] na hapo hapo unakuta binti anagawa nje ...
Anaenda kuaga bahasha wake kabisa the day before tukio analala huko ikibidi 😅 siku hio unaagwa kwa bashasha good night hubby kisha muhuni anaendelea kuchimbua crypto-mbususu usiku mzima kesho anakuletea wewe ikiwa imekoshwa after zoezi la pete unaenda kupiga jioni 😅😅
 
Anaenda kuaga bahasha wake kabisa the day before tukio analala huko ikibidi [emoji28] siku hio unaagwa kwa bashasha good night hubby kisha muhuni anaendelea kuchimbua crypto-mbususu usiku mzima kesho anakuletea wewe ikiwa imekoshwa after zoezi la pete unaenda kupiga jioni [emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu Hawa viumbe washenzi mno vile walivyo soft huwezi amini matukio wanayotufanyia... Swala la kuoa linahitaji kujiandaa sana kiakili adse
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu Hawa viumbe washenzi mno vile walivyo soft huwezi amini matukio wanayotufanyia... Swala la kuoa linahitaji kujiandaa sana kiakili adse
Ni swala la kujiamini tu hutafuniwi ila hawa watoto wa IFM aisee inataka moyo
 
Inategemea na wewe mwenyewe mfano a very intimate dinner then u propose ila kama baby wako anapenda matashtiti sasa thats a different story... Goodluck...
 
Ni swala la kujiamini tu hutafuniwi ila hawa watoto wa IFM aisee inataka moyo
Hivyo vya IFM ni hit & run tuu ..ukiweka Kambi unastukia malengo yako hayatimii ..vinapiga mizinga hvyo ..afu vinapenda kula Bata hatari
 
Hvyo vya IFM ni hit & run tuu ..ukiweka Kambi unastukia malengo yako hayatimii ..vinapiga mizinga hvyo ..afu vinapenda kula Bata hatari
Hahahaha wanatafuna sana hela za vijana wa mjini ukija stuka amehama tawi kama ngedere😅😅😅
 
Inategemea na wewe mwenyewe mfano a very intimate dinner then u propose ila kama baby wako anapenda matashtiti sasa thats a different story... Goodluck...
Hata ya Hela hiyo ya dinner mwamba hana anataka Aite mtoto chap ghero ..amalize mchongo huko huko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaha wanatafuna sana hela za vijana wa mjini ukija stuka amehama tawi kama ngedere[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] afu anakua kama hakujui kabisa .watoto Wana dhambi Hawa [emoji23]
 
Back
Top Bottom