Hivi kuvalishana pete za uchumba ni lazima kuwe na wageni waalikwa pamoja na sherehe?

Hivi kuvalishana pete za uchumba ni lazima kuwe na wageni waalikwa pamoja na sherehe?

Hello wakuu.

Nina mpango wa kumvisha pete mtarajiwa wangu. Swali langu ni je, lazima kualika watu au naweza kumuita ghetto tu nikamvalisha na mchezo ukaisha?


Watanzania tume kompliketi sana swala zima la ndoa. Kiasi kwamba kwa sasa mtu ukitaka kuoa yaani lazima ujipange utadhani unaenda India kufanyiwa upasuaji. Kila hatua ya mchakato ni sherehe!
- kwenda kujitambulisha - sherehe
  • kujitambulisha ukweni - sherehe
  • kupeleka barua ya posa - sherehe
  • kwenda kuchukua majibu ya barua - sherehe
  • kupeleka mahari - sherehe
  • kuvalishana pete - sherehe
  • kuitisha kamati - sherehe
  • send off - sherehe
  • sijui nini tena - sherehe
  • photoshoot - sherehe
  • harusi - sherehe
  • hanemun - sherehe
  • kuvunja kamati - sherehe !
😂😂😂😂😂
 
Gharama mkuu, maana wageni lazima watafune vyuku na vinywaji.
Haikwepeki, kutoa mahari nnavyojua lazima uambiwe pia kuleta chakula cha watu kadhaa, na ndio hapo utamvisha pete.
Pia tukio ka hilo likishuhudiwa na watu wa karibu inaleta heshima flani.
Uchumba wa vyumbani ni wa kihuni kiaina, ikiwezekana mshirikishe kiongozi wa dini kabisa.
All the best.
 
Watanzania wanapenda kula kula yaani tukio lolote lile wanawaza kula na kunywa. Majuzi napokea mwaliko na kuombwa mchango kutoka kwa miongoni mwa ndugu zangu kuwa Mama mkwe anakuja kulea wajukuu!!

Yaani mtu kaja kwa interest zake tena kuona wajukuu zake tena imekuwa sherehe ya kukusanya mamia ya watu!
Teh teh ,yaani n mambo ya kipunga teh teh
 
Mkuu jinsi tunavyowaza wanaume kuhusu izo mambo ni tofauti kidogo na wenzetu hawa.

Wenyewe wengi wao wanapenda kuonekana kwa wenzao kua wanapendwa/wanaolewa/wanachumbiwa nk nk.

Sidhani kama atafurahia icho kitu mkuu
Yan we acha tu..hawa viumbe n shida
 
Popote tu ata bafuni una mwangushia sabuni hakiinama tu tayari....supriseeee
 
Kuvishwa pete tumeiga kwa watu huko na wenyewe wanafanya suprise hata kusipokuwa na ndugu..sisi huku hadi ubwabwa unapikwa kisha binti anaulizwa"Will you marry me?"..unafki mtupu.
Kweli aache uboya......hiyo inatakiwa iwe surprise tu....unaweza ukamtoa out....pigeni vyombo na choma choma then mara paap unachomoa pete unamvisha habari imeisha
 
Ndiyo maana mastaa wa kike wa kibongo huwa wanajinunulia pete wenyewe ..wanategeshea sherehe yeyote kama kuna watu anampa jamaa yake ile pete ili amveshe halafu anajifanya wooww ! surpriseeee!!!! kama nyau
 
ndiyo maana mastaa wa kike wa kibongo huwa wanajinunulia pete wenyewe ..wanategeshea sherehe yeyote kama kuna watu anampa jamaa yake ile pete ili amveshe halafu anajifanya wooww ! surpriseeee!!!! kama nyau
Hahhahaha [emoji23][emoji23], i sayy.you made my morning..
 
Mwambie achague moja kati ya sherehe wakati wa kumbisha pete au wakati wa harusi.
 
Ingependeza zaidi mngevalishana mbele ya madhabahu kama ninyi ni wakristo, naamini jambo lenu lingekuwa na baraka za Mungu zaidi, suala la mambo ya sherehe huwa si muhimu lakini sidhani kama kuna mzazi wa kibongo atakubali hili..!!

Noted.
 
Hello wakuu.

Nina mpango wa kumvisha pete mtarajiwa wangu. Swali langu ni je, lazima kualika watu au naweza kumuita ghetto tu nikamvalisha na mchezo ukaisha?


SWALI:-
1. nini maana ya kuvalishana pete?
jibu:- unavalisha pete mwanamke kuutangazia ulimwengu kuwa msichana tajwa amewekewa zuio na kwamba mtu mwengine asimguse anakusudiwa kuolewa na mvalisha pete.
Ujinga wako: ukivisha pete kisiri siri nani atajua kuwa mwanamke ana mtu wake? huu ni upuuzi wa uswahilini kujifanya kila kitu siri, ila lazma ulimwengu ujue hilo.

2.Je, ni muhimu watu kualikwa?
Ndiyo, watu hao ndio watakuwa matangazo na hata kumlinda watapo ona mtu anamtongoza ama watapoona mwanaume anasema kwa familia ili kulinda ule uchumba.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mkuu hakuna shortcut kwenye haya mambo ..kumvisha Pete ni njia kuelekea kufunga ndoa ..so hujajipanga financially???
Uchumba sio mke. Mda wowote anaweza badilika na akaolewa na mwingine.kwa nn upoteze pesa nyingi kisa uchumba wakati bado tena harusi.haya wanayataka wakina mama ila mwanaume anayejitambua anaweza akamshtukiza akiwa kajipanga hata na marafiki zake 5 tuu wakanywa na vinywaji na chakula huko walipo ambayo ghalama yake haifiki hata laki 2.

Sasa hayo maukumbi wanapotaka wanawake yanalipiwa mapaka kodi.mc mwenyewe kodi vinywaji vyenyewe kodi.unafikili ghalama inayokuja hapo ni zaidi ya milion 5 na kuendelea.kwa nn hzo pesa mzichezee kiasi hcho.waache kufocus masherehe wa focus maisha.na wataya enjoy maisha yao baada ya ndoa
 
Uchumba sio mke. Mda wowote anaweza badilika na akaolewa na mwingine.kwa nn upoteze pesa nyingi kisa uchumba wakati bado tena harusi.haya wanayataka wakina mama ila mwanaume anayejitambua anaweza akamshtukiza akiwa kajipanga hata na marafiki zake 5 tuu wakanywa na vinywaji na chakula huko walipo ambayo ghalama yake haifiki hata laki 2.sasa hayo maukumbi wanapotaka wanawake yanalipiwa mapaka kodi.mc mwenyewe kodi vinywaji vyenyewe kodi.unafikili ghalama inayokuja hapo ni zaidi ya milion 5 na kuendelea.kwa nn hzo pesa mzichezee kiasi hcho.waache kufocus masherehe wa focus maisha.na wataya enjoy maisha yao baada ya ndoa
Uko sahihi sana mkuu..ila Hawa wanawake wetu Hili halijawahi kuwaingia akilini show off zinawaharibu sana kisaikolojia ..wanataka kuvimbiana insta
 
Oya mtie mimba kwanza. Then mvute geto muishi ndio habari ya mjini. Kuvishana pete inaleta nuksi mwisho wa siku msioane
 
Hao ndugu si ndo watu sasa, we jamaa wa wapi 😀
Umeshawahi kuhudhulia ndoa za kibongo? Kina nani wanajazana kwenye sherehe kama si wapambe na marafiki? Utashangaa mtu anapata kadi anaalika rafiki yake waende kwenye mnuso.
 
Back
Top Bottom