Hivi kuvalishana pete za uchumba ni lazima kuwe na wageni waalikwa pamoja na sherehe?

Unaishi uswahilini sana
 
Kuvishwa pete tumeiga kwa watu huko na wenyewe wanafanya surprise hata kusipokuwa na ndugu..sisi huku hadi ubwabwa unapikwa kisha binti anaulizwa"Will you marry me?"..unafki mtupu.
Haulizwi bwana, ila ni ishara kuwa kawa mchumba wa mtu. Ndomaana mahari inalipwa then anaveshwa tuspotoshane tafadhali
 
Umeshawahi kuhudhulia ndoa za kibongo? Kina nani wanajazana kwenye sherehe kama si wapambe na marafiki? Utashangaa mtu anapata kadi anaalika rafiki yake waende kwenye mnuso.

Mleta mada anataka kukwepa watu wote including ndugu ndo maana alisema "... au naweza kumuita ghetto tu nikamvalisha na mchezo ukaisha?" Au ndugu wanaruhusuiwa kuja ghetto?
 
Haya mambo ya kuvalishana sijui pete za uchumba, sisi vijana wa zamani hatukuwa nayo. Hata hivyo tusipende kuiga kila kitu Wazungu wanafanya. Mwishowe tunaonekana malimbukeni na mazuzu.
 
Kuvishwa pete tumeiga kwa watu huko na wenyewe wanafanya surprise hata kusipokuwa na ndugu..sisi huku hadi ubwabwa unapikwa kisha binti anaulizwa"Will you marry me?"..unafki mtupu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…