Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
Sina factor hata moja hapo but I'm single and happy, ya kazi gani kufuga ng'ombe akutie stress za kumfuga wakati nikitaka maziwa napataFactor ni zile zile mkuu
Low wages
Lack of capital
Famine &hunger
Poor government support
War & diseases
Kwani ndoa ni majukumu au wajibu??
Ulemavu ganiKuwa single ni aina mojawapo ya ulemavu
UsingleUlemavu gani
Mi ukiniuliza nipo single au na mahusiano hata sielewi status yangu kwa saiv. Ila na marafiki wengi wa kike ntakaewasiliana nae sana kwa wakati flan ndo atanitatulia changamoto ya upwiru pia wengine nawapata huko nakotafutia mkate wa Kila siku.
Ila kusema na strong relationship hapana tunaponea hvo Kwa marafiki, maex, na wengn kikubwa siku ziende
Nipo, naona una tukandia ma single[emoji855]
😁😁Hizi mambo siku hz ni kuliana timing tu ukijikuta serious sana na mahusiano utaondoka una hali mbaya sana!!! Mtaanza tu kuchukiana bureeee bora muwe na target ila hampo framed[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nipe kadi, nimekipenda chama chako
[emoji16][emoji16]Hizi mambo siku hz ni kuliana timing tu ukijikuta serious sana na mahusiano utaondoka una hali mbaya sana!!! Mtaanza tu kuchukiana bureeee bora muwe na target ila hampo framed
Uzur wa hyo free style hamna kufungana hata ule utayar wa kuisaidiana kifedha upo kwa sababu urafiki ndiyo bond yenu kuu ngono ni kuchangamsha tu mwili na hata mnapongonoka wote mnaenjoy sana maana inakua mara Moja baada ya mda mrefu, kuliko Ile muwe kwenye uhusiano mnachokana haraka morale ya kudinyana inapungua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kabisa upo km haupo vilee
Kifupi husomeki
Uzur wa hyo free style hamna kufungana hata ule utayar wa kuisaidiana kifedha upo kwa sababu urafiki ndiyo bond yenu kuu ngono ni kuchangamsha tu mwili na hata mnapongonoka wote mnaenjoy sana maana inakua mara Moja baada ya mda mrefu, kuliko Ile muwe kwenye uhusiano mnachokana haraka morale ya kudinyana inapungua
Mi wengi hua tunabebana kimtindo akikwama namsapoti japo sio sheria na hua hawana shidaNa hamna ulazima wa kumpa km hutaki
Umesema kwa usahihi kabisaKila kitu kina wakati na nafasi yake.
👉Usifate mkumbo, au kushauriwa kwa mihemuko na vitisho.
👉Pambania Malengo yako, maana ndoa SI flirting tu.
Mbona nilishakualika hili Chama kubwa shosti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nipe kadi, nimekipenda chama chako
Mbona nilishakualika hili Chama kubwa shosti