Hivi kwa nini tumeamua kumpora Mungu utukufu wake na kujimilikisha sisi?

Hivi kwa nini tumeamua kumpora Mungu utukufu wake na kujimilikisha sisi?

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Nani aliwaambua eti mtu anaweza kumbaliki mtu mwenzie. Hivi nyie mnacheza na Mungu eti!!

Nimeshangaa sana eti Kuna watu wanabariki watu wenzao. Sasa mungu ana kazi Gani! Mbona mnataka kumnyanganya ukuu wake.

Eti mashoga hamtawabariki!! Kwani uwezo wa kubarika mmetoa wapi
 
Nani aliwaambua eti mtu anaweza kumbaliki mtu mwenzie. Hivi nyie mnacheza na Mungu eti!!

Nimeshangaa sana eti Kuna watu wanabariki watu wenzao. Sasa mungu ana kazi Gani! Mbona mnataka kumnyanganya ukuu wake.

Eti mashoga hamtawabariki!! Kwani uwezo wa kubarika mmetoa wapi
Ukishaelewa kuwa dini yenyewe ina vinasaba vya yule Joka Kuu wala hupati shida kufanya maamuzi mazuri kwa wakati sahihi, ni heri ubaki pekeyako kiimani kuliko kufata mikumbo ya mapokeo kiimani toka kwa Babu, Bibi, Baba na Mama.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Dini inamkanganyiko mkubwa sana, ili kujua dini ni nini, akili inahitajika kutulia,
 
ukiambiwa tumeumbwa kwa mfano wa Mungu wewe hua unaelewa nn?
ukimnenea mtu baraka anabarikiwa
source nenda kasome bible yote nahis hata Quran pia itakua imesena hivyo
 
Nani aliwaambua eti mtu anaweza kumbaliki mtu mwenzie. Hivi nyie mnacheza na Mungu eti!!

Nimeshangaa sana eti Kuna watu wanabariki watu wenzao. Sasa mungu ana kazi Gani! Mbona mnataka kumnyanganya ukuu wake.

Eti mashoga hamtawabariki!! Kwani uwezo wa kubarika mmetoa wapi
Soma Biblia kwa lengo la kuielewa sio kuisoma kama vile unasoma hadithi za magazeti ya Sani.
 
ukiambiwa tumeumbwa kwa mfano wa Mungu wewe hua unaelewa nn?
ukimnenea mtu baraka anabarikiwa
source nenda kasome bible yote nahis hata Quran pia itakua imesena hivyo
Huyu ni wale walokole vijana, huwa wanajiona wanajua kila kitu kumbe bado wanafunzi tena wachanga kabisa kwenye masuala ya kiroho.
 
ukiambiwa tumeumbwa kwa mfano wa Mungu wewe hua unaelewa nn?
ukimnenea mtu baraka anabarikiwa
source nenda kasome bible yote nahis hata Quran pia itakua imesena hivyoha

Soma Biblia kwa lengo la kuielewa sio kuisoma kama vile unasoma hadithi za magazeti ya Sani.
Muacheni mungu na ukuu wake. Msimnyanganye plz
 
Unaongelea kubariki, mbona jambo dogo sana hilo.

Zamani katoliki tulikua tunasamehewa dhambi na Padri ama Askofu kwa kutoa hela.

Ulikua ukitoa hela nyingi unafutiwa dhambi zote kabisa.

Kwa sasa wakatoliki hatuna budi kufuata na kutelekeza maagizo ya baba mtakatifu kuhusu mashoga.
 
Nani aliwaambua eti mtu anaweza kumbaliki mtu mwenzie. Hivi nyie mnacheza na Mungu eti!!

Nimeshangaa sana eti Kuna watu wanabariki watu wenzao. Sasa mungu ana kazi Gani! Mbona mnataka kumnyanganya ukuu wake.

Eti mashoga hamtawabariki!! Kwani uwezo wa kubarika mmetoa wapi
Nitakujibu kwa maandiko kuwa kuna watu kama viongozi wamepewa dhamana ya kuwapa watu baraka za Mungu ( sio mashoga)

NARUDIA...UFIRAJI NA USHOGA KIBIBLIA NI DHAMBI HIVYO PAPA WENU NI MPOTOSHAJI SOMA HAPA...

(Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,

1 Wakorintho 6:9
na wazinifu, na wafiraji, na waibao watu, na waongo, nao waapao kwa uongo; na likiwapo neno lo lote linginelo lisilopatana na mafundisho yenye uzima;

1 Timotheo 1:10)

SASA TUANGALIE WANADAMU KUWABARIKI WENGINE


Labani akaondoka asubuhi na mapema, akawabusu wanawe na binti zake, akawabariki; kisha Labani akaenda zake, akarudi kwao.

Mwanzo 31:55

Kisha Haruni akainua mikono yake na kuielekeza kwa hao watu, akawabariki; kisha akashuka akisha isongeza sadaka ya dhambi, na sadaka ya kuteketezwa, na sadaka za amani.

Mambo ya Walawi 9:22

Basi Yoshua akawabarikia, na kuwapa ruhusa waende zao; nao wakaenda mahemani kwao.

Yoshua 22:6

Basi Musa alikuwa amewapa hiyo nusu moja ya kabila ya Manase urithi katika Bashani; lakini hiyo nusu ya pili Yoshua aliwapa urithi kati ya ndugu zao, ng'ambo ya Yordani upande wa kuelekea magharibi. Zaidi ya hayo Yoshua, hapo alipowapeleka waende zao mahemani kwao, akawabarikia,

Yoshua 22:7

Kisha Daudi alipokwisha kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka za amani akawabarikia watu kwa jina la Bwana wa majeshi.

2 Samweli 6:18

Mfalme akageuza uso wake, akawabarikia mkutano wote wa Israeli; na mkutano wote wa Israeli wakasimama.

2 Mambo ya Nyakati 6:3

Simeoni akawabariki, akamwambia Mariamu mama yake, Tazama, huyu amewekwa kwa kuanguka na kuinuka wengi walio katika Israeli, na kuwa ishara itakayonenewa.

Luka 2:34


NINA MAANDIKO MENGI YA EATU KUWABARIKI WATU, UNAHITAJI ZAIDI?
 
Nani aliwaambua eti mtu anaweza kumbaliki mtu mwenzie. Hivi nyie mnacheza na Mungu eti!!

Nimeshangaa sana eti Kuna watu wanabariki watu wenzao. Sasa mungu ana kazi Gani! Mbona mnataka kumnyanganya ukuu wake.

Eti mashoga hamtawabariki!! Kwani uwezo wa kubarika mmetoa wapi
Nakushauri usijiingize katika mambo yanayokuzidi uwezo wakati andiko lako kunionyesha ni kilaza failure. Kwanza hujui kubwa baraka ni two way traffic, "ubarikiye nitambariki na umulaaniye nitamulaani". "Utajachofunga duniani na mbinguni litafungwa na utakkachokifungua duniani na mbinguni kitafunguliwa". Hiyo ni mifano michache kati ya mingi
 
Nitakujibu kwa maandiko kuwa kuna watu kama viongozi wamepewa dhamana ya kuwapa watu baraka za Mungu ( sio mashoga)

NARUDIA...UFIRAJI NA USHOGA KIBIBLIA NI DHAMBI HIVYO PAPA WENU NI MPOTOSHAJI SOMA HAPA...

(Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,

1 Wakorintho 6:9
na wazinifu, na wafiraji, na waibao watu, na waongo, nao waapao kwa uongo; na likiwapo neno lo lote linginelo lisilopatana na mafundisho yenye uzima;


1 Timotheo 1:10)

SASA TUANGALIE WANADAMU KUWABARIKI WENGINE


Labani akaondoka asubuhi na mapema, akawabusu wanawe na binti zake, akawabariki; kisha Labani akaenda zake, akarudi kwao.

Mwanzo 31:55

Kisha Haruni akainua mikono yake na kuielekeza kwa hao watu, akawabariki; kisha akashuka akisha isongeza sadaka ya dhambi, na sadaka ya kuteketezwa, na sadaka za amani.

Mambo ya Walawi 9:22

Basi Yoshua akawabarikia, na kuwapa ruhusa waende zao; nao wakaenda mahemani kwao.

Yoshua 22:6

Basi Musa alikuwa amewapa hiyo nusu moja ya kabila ya Manase urithi katika Bashani; lakini hiyo nusu ya pili Yoshua aliwapa urithi kati ya ndugu zao, ng'ambo ya Yordani upande wa kuelekea magharibi. Zaidi ya hayo Yoshua, hapo alipowapeleka waende zao mahemani kwao, akawabarikia,

Yoshua 22:7

Kisha Daudi alipokwisha kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka za amani akawabarikia watu kwa jina la Bwana wa majeshi.

2 Samweli 6:18

Mfalme akageuza uso wake, akawabarikia mkutano wote wa Israeli; na mkutano wote wa Israeli wakasimama.

2 Mambo ya Nyakati 6:3

Simeoni akawabariki, akamwambia Mariamu mama yake, Tazama, huyu amewekwa kwa kuanguka na kuinuka wengi walio katika Israeli, na kuwa ishara itakayonenewa.

Luka 2:34


NINA MAANDIKO MENGI YA EATU KUWABARIKI WATU, UNAHITAJI ZAIDI?
Biblia ni kisichoaminika ndugu. Swali ni kwamba je mungu ana kazi Gani wakati Kuna watu wametwaa tayri uungu wake
 
Back
Top Bottom