Hivi kwa nini wanawake wafupi asilimia kubwa wanapenda kuolewa na wanaume warefu?

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]kwa hali hiyo wasitembee na miguu wapande gari?
Mimi nikiona mwanaume yuko na demu mrefu kuliko yeye na wanatembea barabarani kwa miguu huwa naenda kumuomba demu namba ya simu mbele ya jamaa yake alaf huyo jamaa yake namsalimia "dogo vipi? naona uko na dada"
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wivu hadi kwa dada!
Wivu hapo uko wapi jamani babe[emoji2369][emoji2369]
Ningekuwa na wivu nisingekubali aje kwangu wakati sipo. Huoni hapo mtakuwa nyie tu[emoji6]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…