Hivi kwa nini wanawake wafupi asilimia kubwa wanapenda kuolewa na wanaume warefu?


haaa ngoja namimi niongeje juhudi kutafuta kafupi, sasa wakati unakanyandua kifo cha mende, si unakafunika mwili mzima, katahema kwelii??
 
Wanawake wanavutiwa na wanaume warefu kwasababu za kisaikolojia:
Urefu wanaona ni moja ya masculine features
So wanavutiwa na
*Urefu
*Physical fitness ile miili kama bodybuilder au athlete
*Sura
 
Ila urefu kunaleta kujiamin Sana ndomana zaman ulikuwa huingiii jeshin Kama wew n mfupi na ndomana zaman Hitler alikuwa anapenda watu warefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…