financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Safi sana! Hongera pia maana wengine siyo warefu sehemu zotemimi ni mrefu tena kila sehemu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana! Hongera pia maana wengine siyo warefu sehemu zotemimi ni mrefu tena kila sehemu
Hongereni! Mjue tu mnapendwaana mimi apa ni mrefu
Unamaanisha hao waigiza hizo movies ndiyo warefu pekee mkuu? Mitaani hamna warefu hadi kwenye movies?Movie zinawaharibu sana
ShikamooUnamaanisha hao waigiza hizo movies ndiyo warefu pekee mkuu? Mitaani hamna warefu hadi kwenye movies?
Ili kuchanganya mbeguhivi kwa nini wanawake asilimia kubwa wafupi wanapenda kuolewa na wanaume warefu?
AsanteeeUgonjwa wangu.
Kwa hisani ya wanawake wafupi
Unaniamkia unataka kuninyima nini mkuu?Shikamoo
Marahaba
Unaufananisha na upi mkuuHuu mwandiko naufananisha hivi! Hahaaa
Hauwezi kushindana na sehemu uliyotokeaNdiyo raha yenyewe hiyo mkuu!😂 mwanaume kushughulika
kichwa cha thread kingesomeka hv
kwa nini wanaume warefu wanapenda kuoa wanawake wafupi???
N way, ni hivi..
wanawake wafupi wanajua kupenda wanajali, wanyenyekevu, warembo, ni walezi wazuri ,na wanajua kukamata wanaume vzr
zaidi ya yote wanabebeka kunako 6×6
Kama nilivosema kila mtu ana sifa anazopenda kwa mtu, inawezekana ni mimi tu ndiye napenda wakaka warefu 😂mbona sasa kama mnatupendaa mbona huwa natumia nguvu nyingi sanaa kutongozaa??
Mpe mpe[emoji13]Wanawake hatuna hiyana, huwaga tunawapa tu sifa hata kama hauna.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mpe mpe[emoji13]
Ewaaa unajihisi kama mtoto vile, kumbe kibibi cha miaka kadhaa😂😂Akikukumbatia basi kichwa unakilaza kifuani, basi rahaaa mstarehe.
[emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana umeshikwa pabaya unakimbia kwenye movie kimbilio ni [emoji116]Movie zinawaharibu sana