Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #21
Ko ni ulimbukeni tu??Watz usafiri wowote kupanda mpk wagombanie ispokuwa ktk Ndege tuu.. huku kuna ustaarab sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko ni ulimbukeni tu??Watz usafiri wowote kupanda mpk wagombanie ispokuwa ktk Ndege tuu.. huku kuna ustaarab sana
Aah ita kuwa ume lewa boss😂😄Kwakuwa hiyo picha ni editing japo nia ni kufikisha ujumbe, nimeona hapo mwanzo mwanzo mtu anakimbia ana miguu mitatu.
Kaka kigamboni Kuna maeneo poa, Nili kaaa pale mnadani- pame tulia kinyama.Uwongo m'baya,sema hao jamaa wanaoishi huko wana tabu sana
Kaka pale udhibiti ni maji na mbinguSo lile dude kumbe halina limitation kwamba watu kiasi fulani wanatosha?
Maana wanavyokimbilia hivyo utajua wameingia 200 au 500?likizidiwa je?
Sidhani kama hua wanakua na limit, maana likija watu wote wanalikimbiliaKwani utaratibu umebadilika?
Back in 2016/17/18 ulikuwa unakatia ticket, unasubiri kivuko kije ‘nadhani pale kwenye ticket kunakuwa na limit kabisa ama huko Dar siku hizi mambo yamekuwaje? Lenie
Nashukuru kWa kunisemea mkuu..tunapataga tabu sana aise.Mjue nyie hamuelewi pale
Wale wanaokimbilia wanawahi mbele ili wawe wa kwanza kushuka wanawahi kusimama mbele kabisa ya kivuko na wengi wao plan yao ni kuwahi daladala maana kuna watu wanakaaa kigamboni ndani ndani hadi kimbiji kusimama kwenye daladala ni shida so plan zao ni kupata siti za magari
Kwakuwa hiyo picha ni editing japo nia ni kufikisha ujumbe, nimeona hapo mwanzo mwanzo mtu anakimbia ana miguu mitatu.
Dah uki sikia maajabu basi ndio haya, nime kuwa naji uliza kwanini watu Waki ona kivuko.
Lazima waki kimbilie Kama vile wame ona pepo??
Uta shangaa watu Wana kimbia Kama vile wame sikia dunia Ime fika mwisho, sio wanaume au Wanawake wote ni majanga tu.
Yaani una eza dhania ni game so Kuna mtu ana waendesha??
View attachment 2838323
Kwakuwa hiyo picha ni editing japo nia ni kufikisha ujumbe, nimeona hapo mwanzo mwanzo mtu anakimbia ana miguu mitatu.
Kaka hali halisi iko hivo uwanjani😄😂🤒🤒[emoji23][emoji23][emoji23]dah kweli kabisa
Suruali ni nini ??, Maana Ume kurupuka🤒😄Afu wakimbiaji wote hakuna mwenye suruali [emoji16]
Hii ni kweli kabisamazoea tu, huku mbagala utakuta dala dala haina watu, abiria wachache kituoni lakini wanaikimbilia kuingia, tena wanaminyana kweli kweli mlangoni, ni mazoea tu
Mnadani mitaa gani?Kaka kigamboni Kuna maeneo poa, Nili kaaa pale mnadani- pame tulia kinyama.
Hao ni waha wakiwahi kwenye misheni zaoAfu wakimbiaji wote hakuna mwenye suruali [emoji16]
Mambo siku hizi ni kuscan na kadi yako, mnaingia likijaa linaamsha nahisi kepteni anahesabu kwa macho wakitosha anaanza safari.Kwani utaratibu umebadilika?
Back in 2016/17/18 ulikuwa unakatia ticket, unasubiri kivuko kije ‘nadhani pale kwenye ticket kunakuwa na limit kabisa ama huko Dar siku hizi mambo yamekuwaje? Lenie
Itakua anazungumzia kule TANESCOMnadani mitaa gani?
Kwenye matenk ya wenye helaItakua anazungumzia kule TANESCO
Mnadani ni pale karibu na njia panda pana uwanja wa vumbi! Sijui pale alikua anakaaa wapi labda alikua ana tank lake anaishi humo🤣🤣🤣🤣Kwenye matenk ya wenye hela
😂 ngoja tuone atajibu nini huyo kijana wa tungiMnadani ni pale karibu na njia panda pana uwanja wa vumbi! Sijui pale alikua anakaaa wapi labda alikua ana tank lake anaishi humo🤣🤣🤣🤣