Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulaaniwe boya wewe 😂😆😆Mnadani ni pale karibu na njia panda pana uwanja wa vumbi! Sijui pale alikua anakaaa wapi labda alikua ana tank lake anaishi humo🤣🤣🤣🤣
Kaka sinywi pombe, sivuti sigara, am just enjoying food🤒😂 ngoja tuone atajibu nini huyo kijana wa tungi
Ni mbele ya mnadani, Kuna Kama kanisa Mitaa Ile.Mnadani mitaa gani?
Mwingine huyu hapa!Kwakuwa hiyo picha ni editing japo nia ni kufikisha ujumbe, nimeona hapo mwanzo mwanzo mtu anakimbia ana miguu mitatu.
Ana miguu mitatu huyo, si unauona huo mwingine umesimama. Yani huyo atafika haraka kuliko wale wote wa mbele 🤣Mwingine huyu hapa!
IA pictures sometimes unaona mtu anakimbia kama anapaaView attachment 2839071
Barabara ya kuelekea soko maziwa,mji mwema?Ni mbele ya mnadani, Kuna Kama kanisa Mitaa Ile.
👉Pame tulia kinyama, upepo mzuri- good houses.
Mpaji Mungu nimesha pata jibu la issue yako🤒😆
Mbona atujasema kuhusu hayoKaka sinywi pombe, sivuti sigara, am just enjoying food🤒
Dah watu hamshindwi, huu uchokozi Sasa😂😆🤣Mwingine huyu hapa!
AI pictures sometimes unaona mtu anakimbia kama anapaaView attachment 2839071
Una taka nini 🤔, mi niko nanjilinjii mkuu 🤒Barabara ya kuelekea soko maziwa,mji mwema?
Half american bado una bisha??😂 ngoja tuone atajibu nini huyo kijana wa tungi
Mbona atujasema kuhusu hayo
Sijakuelewa mkuuHalf american bado una bisha??
Ndio wapi hukoUna taka nini 🤔, mi niko nanjilinjii mkuu 🤒
Mji wa majobless pro max 🤒, nyie matajiri was dar hamu wezi ujua.Ndio wapi huko
Mi nipo ikwiriri mkuuMji wa majobless pro max 🤒, nyie matajiri was dar hamu wezi ujua.
👉Hasa mrusi wa mchongo Ivan Stepanov, na don wa dar Mpaji Mungu
Tajiri punguza kamba, we SI uko hapo mji wenye sanamu ya askari😆😂Mi nipo ikwiriri mkuu
Nipo ikwiriri mkuu huko naendaga one timeTajiri punguza kamba, we SI uko hapo mji wenye sanamu ya askari😆😂
Heshima yako tajiri😆😂🤒Nipo ikwiriri mkuu huko naendaga one time
Punguzeni upelelezi bhana😂😆🤣Ana miguu mitatu huyo, si unauona huo mwingine umesimama. Yani huyo atafika haraka kuliko wale wote wa mbele 🤣