Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Nipo mjini nani kakuambia ??We Poor Brain nawe SI uko mjini??, Shida ni nini 🤔
👊👊👊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo mjini nani kakuambia ??We Poor Brain nawe SI uko mjini??, Shida ni nini 🤔
Kwani nyie wafanyakazi wa voda huko mjini😆🤣😂Nipo mjini nani kakuambia ??
👊👊👊
Kaka ndo kila siku🤣😆Itakuwa wanakumbuka mambo ya Nuhu, hakuna tena haja ya kuambiwa pandeni ni mwendo wa kuwahi
Wee jamaa kumbe ujiheshimu...Kwani nyie wafanyakazi wa voda huko mjini😆🤣😂
ndo maisha, mi mwenyewe niko nanjilinjii, nawinda nyani shambani🤣😆Wee jamaa kumbe ujiheshimu...
Jua kali kaka
Aya fanya kazi sasa mkuundo maisha, mi mwenyewe niko nanjilinjii, nawinda nyani shambani🤣😆
Kazando maisha, mi mwenyewe niko nanjilinjii, nawinda nyani shambani🤣😆
Mapambano yaendelee, sema maembe ni mengi.Aya fanya kazi sasa mkuu
Usinitukane mkuu tafwazwaliHeshima yako tajiri😆😂🤒
We ni boss hapo daslam, we na tajiri mwenzio Mpaji MunguUsinitukane mkuu tafwazwali
Eee Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema samehe hii mtu, yaan Leo nimekua tajirWe ni boss hapo daslam, we na tajiri mwenzio Mpaji Mungu
Dah boss nime pata majibu ya I'll issue ya panya, wanao kula hela zako😆🤒Eee Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema samehe hii mtu, yaan Leo nimekua tajir
Na ikawe hivyo mkuu ahsante Kwa kuninenea barakaWe ni boss hapo daslam, we na tajiri mwenzio Mpaji Mungu
Una kuta zee na ndevu zake Lina kimbia hovyo, Kisha Lina Anza kucheza cheka😆Sio wote kuna mahali wanawahi, kuna wengine ni mazoea tuu na upumbavu kichwani
Slide pmDah boss nime pata majibu ya I'll issue ya panya, wanao kula hela zako😆🤒
Ameen, nashangaa tajiri mwenzio Mpaji Mungu ana ukataa u don😆🤒Na ikawe hivyo mkuu ahsante Kwa kuninenea baraka
Hiyo pm ni kirefu Cha premio gari yako ehh😆, maana hata Half american Anayo😆🤒Slide pm
Labda ndotonHiyo pm ni kirefu Cha premio gari yako ehh😆, maana hata Half american Anayo😆🤒