Hivi kwa nini, Watu wenye IQ kubwa ushindwa kueleweka kwenye kwenye jamii yenye IQ ndogo na mwisho wa siku utumika kama msaada mbeleni?

Hivi kwa nini, Watu wenye IQ kubwa ushindwa kueleweka kwenye kwenye jamii yenye IQ ndogo na mwisho wa siku utumika kama msaada mbeleni?

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Kuna mada nilikuta wakilalamika kuhusu Elon musk post zake.Ingekuwa maskini au Godluck mchoma gari tungesema kachanganyikiwa sababu hana kuona mbele.

Mfano Elon Musk huyu jamaa anaweza kueleza kitu ambacho utakubari ila kikifa utasema ni teknolojia imekuwa.

Historia inasema kulikuwa na watu wenye uwezo mkubwa ambao waliona dunia mbali kuliko kundi la wengi kuona karibu ila leo kundi la wengi linaona dunia imekuwa kumbe kuna watu wachache ndio wamefanya hivo.

Mfano kipindi cha Tesla kuhusu wireless ya umeme,Ni kama watu walimuona kituko.

Mfano wa pili wanasayansi wengi walioleta mawazo na kuona mbali wengi walipingwa ila leo yanatumika.

Ni kwa nini watu hawa wanao kuwa tofauti tunaweza kuona wamwchanganyikiwa mwisho wa siku ndio vinatufikisha kwenye maisha haya.
 
Mara nyingi kumuita mtu mjinga, inaashiria ujinga wa aliyetamka neno mjinga
 
Kuna mada nilikuta wakilalamika kuhusu Elon musk post zake.Ingekuwa maskini au Godluck mchoma gari tungesema kachanganyikiwa sababu hana kuona mbele.

Mfano Elon Musk huyu jamaa anaweza kueleza kitu ambacho utakubari ila kikifa utasema ni teknolojia imekuwa.

Historia inasema kulikuwa na watu wenye uwezo mkubwa ambao waliona dunia mbali kuliko kundi la wengi kuona karibu ila leo kundi la wengi linaona dunia imekuwa kumbe kuna watu wachache ndio wamefanya hivo.

Mfano kipindi cha Tesla kuhusu wireless ya umeme,Ni kama watu walimuona kituko.

Mfano wa pili wanasayansi wengi walioleta mawazo na kuona mbali wengi walipingwa ila leo yanatumika.

Ni kwa nini watu hawa wanao kuwa tofauti tunaweza kuona wamwchanganyikiwa mwisho wa siku ndio vinatufikisha kwenye maisha haya.
Unaweza ukawa unataka kumpeleka punda kwenye kisima kunywa maji lakini yeye ametia breki hataki kabisa, utamchapa sana lakini anafikiri lengo lako ni kumchapa, laiti angejua kuwa anapelekwa kunywa maji na angeweza kwenda mwenyewe bila kiboko. Ndivyo walivyo binadamu wengi.
 
Back
Top Bottom