Hivi kwa umri wa miaka 41 niliofikisha naweza kutoboa maisha au ndio basi tena?

Hivi kwa umri wa miaka 41 niliofikisha naweza kutoboa maisha au ndio basi tena?

Bado sana unajipa wasiwasi watu wametoboa na 60 mzee wa KFC...ukifuatilia mtajiri wengi wako 65 na kuendelea na wako poa tu ukiwa na pesa hata miaka 60 unakuwa kawaida maana akili inafanya kazi muangalie bill gates, Jeff wako smart ila umri umeenda.
Bado sana kabisa sema kama una majukumu mengi na bado muelekeo hata nyumba bado inakurudisha nyuma kimtindo hata risk kubwa uwezi kuchukua.
King Charles katoboa akiwa na 70yrs, tena juzi tu
 
Hahahahaha mm mkongwe mkuu
Miaka 41 ni michache sana kama una ndoto ambazo unataka kuzifikia,
pia mikakati ya kuzifikia.

KFC alitoboa akiwa zaidi ya 65 ila kibahati bahati, ukiamua kusubiri bahati kama yeye likely ukafa ukisubiri bila kutoboa.
Miaka inaenda mbio..una 41, Hangaya akienda vipindi viwili utakuwa na 51 hivyo usizembee kimbiza ndoto zako kwa vitendo.

Bahati itakukuta barabarani.
 
Mkuu hakunaga tafsiri sahihi ya kutoboa. Dhana ya kutoboa ni pana sana na inategemea na hutofautiana na mtu na mtu. Kuna mtu akiwa na afya njema na ana pakulala na kula basi keshatoboa.

Labda kama una maanisha kutoboa kiuchumi, lakini nayo pia inategemea ulikuwa umejiwekea malengo gani haswa.

Muhimu usikinganishe maisha yako na ya mwingine, watu tuna vyanzo vya pesa tofauti tofauti sana.

Mwisho umri ni namba tu mzee mwenzangu, ni perception tu, ni Africa tu huwa tunajiwekea boundaries za mambo kulingana na umri kama kuoa, kuelewa, kuzaa, kufanikiwa etc.
 
Wana JF hivi Kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41 ?
Mpaka Sasa Nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.
Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.

Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF . Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo ? Au ndio nishazeeka Tena!
Mkuu jiue tu commit suicide ndo njia pekee ya kutoboa maisha maisha yanapokuwa magumu. Utapumzika milele hutakuwa na shida tena. Hata usipokufa leo bado tu utakufa hutaishi milele. Kwanini uendelee kuish kwa shida?

Jiue tu mtu wangu hamna namna!

Gushleviv hydroxo Prince Kunta Ncha Kali Magonjwa Mtambuka Mzingo kikiboxer ngenya
 
Wana JF hivi Kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41 ?
Mpaka Sasa Nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.
Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.

Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF . Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo ? Au ndio nishazeeka Tena!
Mafanikio kwako kiuchumi ni mpaka uwe na nini?
 
Mkuu jiue tu commit suicide ndo njia pekee ya kutoboa maisha maisha yanapokuwa magumu. Utapumzika milele hutakuwa na shida tena. Hata usipokufa leo bado tu utakufa hutaishi milele. Kwanini uendelee kuish kwa shida?

Jiue tu mtu wangu hamna namna!

Gushleviv hydroxo Prince Kunta Ncha Kali Magonjwa Mtambuka Mzingo kikiboxer
Umeenda kuwafuata shuleni akina Junior watoto wa dadako? Usijisahau hapo sebuleni kwenye sofa naona umeshika remote unabadilisha tu channel kwenye Tv
 
Wana JF hivi Kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41 ?
Mpaka Sasa Nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.
Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.

Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF . Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo ? Au ndio nishazeeka Tena!
Fatilia historia ya mmiliki wa KFC
 
Wana JF hivi kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41?

Mpaka sasa nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.

Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.

Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF. Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo? Au ndio nishazeeka Tena!
Steven Wassira bado ana ndoto za kutoboa kichumi kupitia siasa sembuse wewe mtoto mbichi?
 
Back
Top Bottom