Hivi kwa umri wa miaka 41 niliofikisha naweza kutoboa maisha au ndio basi tena?

Hivi kwa umri wa miaka 41 niliofikisha naweza kutoboa maisha au ndio basi tena?

Wana JF hivi kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41?

Mpaka sasa nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.

Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.

Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF. Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo? Au ndio nishazeeka Tena!
Tuwe realistic you "cant plan for the future when you are already in the future"

hi Africa yetu ni vigumu kutoboa bila kutumia nguvu za ziada au kipaji tuna obstacles au challenges nying interna na external intrinsic na extrinsic loh!!!! Kutoboa Africa sio mchezo
 
Kutoboa kimaisha ni
1. Kumjua na kumcha Mungu
2. Kuwa na Afya njema
3. Kusubiri kusudi la Mungu na hatma ya maisha yako.

Dunia isikuchanganye.
Kila kitu ni ubatili.
Alafu kwenye maisha hakuna mwenye hasara na atakayepata faida Kwa yote aliyotafanya zaidi ya Yule aliyetenda Mema
Point yako ni muhimu sana...japo haina maana kwa dunia ya leo
 
Hapa kuna walakini.
Sina shida na imani zetu na wala sipingi ila kuna shida na tafsiri.
Ukimwambia mtu asubiri kusudi la Mungu wakati Mungu alimwambia adamu akawajibike na ale kwa jasho lake, sasa kusudi gani tena asubiri?

Halafu iweje Mungu awe na makusudi tofauti kati ya mzungu na mwafrika??
Tuchapeni kazi kwa bidii hapo ndipo Mungu ataweka kusudi lake.
Perfect
 
Hapa kuna walakini.
Sina shida na imani zetu na wala sipingi ila kuna shida na tafsiri.
Ukimwambia mtu asubiri kusudi la Mungu wakati Mungu alimwambia adamu akawajibike na ale kwa jasho lake, sasa kusudi gani tena asubiri?

Halafu iweje Mungu awe na makusudi tofauti kati ya mzungu na mwafrika??
Tuchapeni kazi kwa bidii hapo ndipo Mungu ataweka kusudi lake.

Bidii haikufanyi utoboe Mkuu.

Akili+ baraka/kudura+ muda+ bidii+ Uthubutu= kutoboa
 
Ninapoona mwenzangu unayehangaika kuwa hujatoboa una nyumba ya haja tu ya kutumia familia, nimechoka kabisa! Nina umri kama huo; zaidi ya viwanja tu viwili, sina kingine tena dunia hii mpaka sasa. Kila nikiona vitoto vyangu viwili vinavyocheza kwa raha na amani bila kujua ni vipi baba yao wasiwasi na mafikirio ya future yao vinavyoongezeka kila sekunde inayonipita sasa.........wangetulia kabisa!!
 
Wana JF hivi kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41?

Mpaka sasa nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.

Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.

Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF. Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo? Au ndio nishazeeka Tena!
Unafeli kwa kukata tamaa, 41 ndio haswa umekuwa na focus katika maendeleo utaenda. Prince Charles toka amezaliwa alikuwa anajua siku moja atakuwa mfalme. Mama yake amekuwa malkia akiwa na miaka 21 na yeye amepata akiwa na 72.

Chagua mchongo mmoja utakao enda nao uzeeni, wabongo unaweza kuta umefanya vitu kibao, anza kidogo kidogo lenga kukuwa zaidi. Prune yale yote yasiyo na maana.
 
Unafeli kwa kukata tamaa, 41 ndio haswa umekuwa na focus katika maendeleo utaenda. Prince Charles toka amezaliwa alikuwa anajua siku moja atakuwa mfalme. Mama yake amekuwa malkia akiwa na miaka 21 na yeye amepata akiwa na 72.

Chagua mchongo mmoja utakao enda nao uzeeni, wabongo unaweza kuta umefanya vitu kibao, anza kidogo kidogo lenga kukuwa zaidi. Prune yale yote yasiyo na maana.
Noted
 
Kutoboa inategemea ulikotoka, kama umezaliwa na kukulia kwenye nyumba ya tembe kama za kule kwetu singida, siku ukimiliki nyumba yako yenye bati za Alaf unakua umetoboa, ukiwa na ka kazi au ka biashara cha kuendeshea maisha unakua umeshatoboa.

Usijilinganishe na wengine mapito yako tofauti.
Mrembo katika watu walioeleza vizuri ni wewe
 
Wana JF hivi kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41?

Mpaka sasa nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.

Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.

Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF. Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo? Au ndio nishazeeka Tena!
miaka 41 bado unanafasi ya kuwa na imani juu ya vile ambavyo unatamani kuvifanikisha katika maisha yako. familia yako (mke na watoto wako watatu) ndio chachu kwako - motivation ya kukufanya uamke kila siku kupambana na ndoto zako. Mafanikio ni mipango!
 
Unafeli kwa kukata tamaa, 41 ndio haswa umekuwa na focus katika maendeleo utaenda. Prince Charles toka amezaliwa alikuwa anajua siku moja atakuwa mfalme. Mama yake amekuwa malkia akiwa na miaka 21 na yeye amepata akiwa na 72.

Chagua mchongo mmoja utakao enda nao uzeeni, wabongo unaweza kuta umefanya vitu kibao, anza kidogo kidogo lenga kukuwa zaidi. Prune yale yote yasiyo na maana.
Hivi ukiwa malkia au mfalme, kumwachia mtu mpaka ufe? Kama ndivyo, je, Mungu akikupa umri mrefu, mathalani miaka 120, utaendelea kushikilia huo umalkia au ufalme?
 
Back
Top Bottom