Hivi kwa umri wa miaka 41 niliofikisha naweza kutoboa maisha au ndio basi tena?

Hivi kwa umri wa miaka 41 niliofikisha naweza kutoboa maisha au ndio basi tena?

Kutoboa kimaisha ni
1. Kumjua na kumcha Mungu
2. Kuwa na Afya njema
3. Kusubiri kusudi la Mungu na hatma ya maisha yako.

Dunia isikuchanganye.
Kila kitu ni ubatili.
Alafu kwenye maisha hakuna mwenye hasara na atakayepata faida Kwa yote aliyotafanya zaidi ya Yule aliyetenda Mema
Mkuu unaweza kutufafanulia hiyo no.3?
 
3. Kusubiri kusudi la Mungu na hatma ya maisha yako.
Hapa kuna walakini.
Sina shida na imani zetu na wala sipingi ila kuna shida na tafsiri.
Ukimwambia mtu asubiri kusudi la Mungu wakati Mungu alimwambia adamu akawajibike na ale kwa jasho lake, sasa kusudi gani tena asubiri?

Halafu iweje Mungu awe na makusudi tofauti kati ya mzungu na mwafrika??
Tuchapeni kazi kwa bidii hapo ndipo Mungu ataweka kusudi lake.
 
Kusudi la Mungu ni kufanya Mapenzi na amri zake hila kuchoka.
Fanya kazi Kwa bidii bila kuangalia muda upo au umeisha.
Weka akiba hata Kwa kidogo upatacho.
Alafu hayo mengine muachie Mungu
Asante
 
Wana JF hivi kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41?

Mpaka sasa nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.

Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.

Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF. Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo? Au ndio nishazeeka Tena!

Anaegawa rizki ni Mwenyezi Mungu peke yake, na sio binadamu. Muhimu fanya kazi kwa bidii/jitume/pambana mwanawane, Allah akujaalie ufanikiwe!!
 
Unaweza kufanya juhudi katika kazi na usifanikiwe pia
Sio kwamba hujafanikiwa, bali kusudi na mapenzi ya Mungu bado kwa wakati huo. Kwahiyo, usihesabie kuwa hautafanikiwa, ongeza bidii ya mapambano. Halafu tukumbuke kuwa kazi ni ibada, na hakuna ibada isiyo na faida kwakuwa Mungu wetu ni muadilifu.
 
Wana JF hivi kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41?

Mpaka sasa nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.

Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.

Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF. Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo? Au ndio nishazeeka Tena!
Unaweza Mkuu
 
Wana JF hivi kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41?

Mpaka sasa nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.

Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.

Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF. Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo? Au ndio nishazeeka Tena!
Inasikitisha kukata tamaa mapema hivyo!
 
Miaka 41 michache sana, ndani ya miaka 5 unaweza kufanya makubwa kama una nia.

Wife mfungulie biashara apambanie chakula, watoto peleka shule za kawaida halafu wewe tafuta mbishe yoyote, epuka kuishi maisha ya watu.

Kama una nyumba na pesa ya kula wewe ni tajiri.
 
Back
Top Bottom