Tuwe realistic you "cant plan for the future when you are already in the future"Wana JF hivi kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41?
Mpaka sasa nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.
Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.
Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF. Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo? Au ndio nishazeeka Tena!
Amesahau kutoa kafara au utajiri wa mauzauzaAisee!
Point yako ni muhimu sana...japo haina maana kwa dunia ya leoKutoboa kimaisha ni
1. Kumjua na kumcha Mungu
2. Kuwa na Afya njema
3. Kusubiri kusudi la Mungu na hatma ya maisha yako.
Dunia isikuchanganye.
Kila kitu ni ubatili.
Alafu kwenye maisha hakuna mwenye hasara na atakayepata faida Kwa yote aliyotafanya zaidi ya Yule aliyetenda Mema
PerfectHapa kuna walakini.
Sina shida na imani zetu na wala sipingi ila kuna shida na tafsiri.
Ukimwambia mtu asubiri kusudi la Mungu wakati Mungu alimwambia adamu akawajibike na ale kwa jasho lake, sasa kusudi gani tena asubiri?
Halafu iweje Mungu awe na makusudi tofauti kati ya mzungu na mwafrika??
Tuchapeni kazi kwa bidii hapo ndipo Mungu ataweka kusudi lake.
Huenda nyumba iko kijijini kwao shambani, ila ukiwa na nyumba dar tayari umesha toboaUnanyumba sasa hapo shida ipo wapi??
Mada kama hizi utakuta mfano wa mtu mmoja tu mzee wa KFC hawezi kukosekana......ila kiukweli mzee 41 yrs meli inazama inaelekea Nungwi.
Hapa kuna walakini.
Sina shida na imani zetu na wala sipingi ila kuna shida na tafsiri.
Ukimwambia mtu asubiri kusudi la Mungu wakati Mungu alimwambia adamu akawajibike na ale kwa jasho lake, sasa kusudi gani tena asubiri?
Halafu iweje Mungu awe na makusudi tofauti kati ya mzungu na mwafrika??
Tuchapeni kazi kwa bidii hapo ndipo Mungu ataweka kusudi lake.
Unafeli kwa kukata tamaa, 41 ndio haswa umekuwa na focus katika maendeleo utaenda. Prince Charles toka amezaliwa alikuwa anajua siku moja atakuwa mfalme. Mama yake amekuwa malkia akiwa na miaka 21 na yeye amepata akiwa na 72.Wana JF hivi kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41?
Mpaka sasa nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.
Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.
Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF. Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo? Au ndio nishazeeka Tena!
NotedUnafeli kwa kukata tamaa, 41 ndio haswa umekuwa na focus katika maendeleo utaenda. Prince Charles toka amezaliwa alikuwa anajua siku moja atakuwa mfalme. Mama yake amekuwa malkia akiwa na miaka 21 na yeye amepata akiwa na 72.
Chagua mchongo mmoja utakao enda nao uzeeni, wabongo unaweza kuta umefanya vitu kibao, anza kidogo kidogo lenga kukuwa zaidi. Prune yale yote yasiyo na maana.
Mrembo katika watu walioeleza vizuri ni weweKutoboa inategemea ulikotoka, kama umezaliwa na kukulia kwenye nyumba ya tembe kama za kule kwetu singida, siku ukimiliki nyumba yako yenye bati za Alaf unakua umetoboa, ukiwa na ka kazi au ka biashara cha kuendeshea maisha unakua umeshatoboa.
Usijilinganishe na wengine mapito yako tofauti.
Unacheza na lugha tu ila kitu ni kile kile.Bidii haikufanyi utoboe Mkuu.
Akili+ baraka/kudura+ muda+ bidii+ Uthubutu= kutoboa
miaka 41 bado unanafasi ya kuwa na imani juu ya vile ambavyo unatamani kuvifanikisha katika maisha yako. familia yako (mke na watoto wako watatu) ndio chachu kwako - motivation ya kukufanya uamke kila siku kupambana na ndoto zako. Mafanikio ni mipango!Wana JF hivi kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41?
Mpaka sasa nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.
Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.
Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF. Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo? Au ndio nishazeeka Tena!
Hivi ukiwa malkia au mfalme, kumwachia mtu mpaka ufe? Kama ndivyo, je, Mungu akikupa umri mrefu, mathalani miaka 120, utaendelea kushikilia huo umalkia au ufalme?Unafeli kwa kukata tamaa, 41 ndio haswa umekuwa na focus katika maendeleo utaenda. Prince Charles toka amezaliwa alikuwa anajua siku moja atakuwa mfalme. Mama yake amekuwa malkia akiwa na miaka 21 na yeye amepata akiwa na 72.
Chagua mchongo mmoja utakao enda nao uzeeni, wabongo unaweza kuta umefanya vitu kibao, anza kidogo kidogo lenga kukuwa zaidi. Prune yale yote yasiyo na maana.
Kwahiyo unataka utoboe mara ngapi kuna wasitaafu wengi na watumishi wenye elimu yao hata nyumba dar wame shindwa kujenga, wewe kinacho kusumbua ni mindset yaka tafadhari re-set mind yako utaona njia ni nyeupeHapana nina nyumba dar.
Na Bado life haijatengamaa.