oscarngala
Senior Member
- Apr 24, 2015
- 195
- 466
Sasa unatak utoboe nini zaid ya hapoNamshukuru Mungu nyumba ninayo mkuu. Kwa malazi tu, familia inalala pazuri.
Watu wengine wana 60+ wanatafuta kiwanja wewe nakujenga tayari unakuja kutu kejeli tu hapa sie ambao hatuna hata viwanja dar cha 20×15.Sasa unatak utoboe nini zaid ya hapo
Ww ulishatoboa ila ulishindw ku mantain hiyo level
Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
Olewa tu labda unaweza kutoboa kupitia mumeo.Wana JF hivi kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41?
Mpaka sasa nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.
Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.
Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF. Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo? Au ndio nishazeeka Tena!
🤜Asikate tamaaKama unaishi BADO, kama unapumua bado, I am sure you will make it
Ulikosea kuanza na nyumba hapa ndo ulipokosea,wenzio tunajenga tukiwa na 50 yrsNamshukuru Mungu nyumba ninayo mkuu. Kwa malazi tu, familia inalala pazuri.
Kama nyumba unayo ushatoboa bado Kagari na registered fixed bussines,wewe usha toboa kabisa,Namshukuru Mungu nyumba ninayo mkuu. Kwa malazi tu, familia inalala pazuri.
Unamtia moyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama nyumba unayo ushatoboa bado Kagari na registered fixed bussines,wewe usha toboa kabisa,
KITANZANIA.
kwa wenzetu huko bila kutengeneza jambo likawa la kimataifa wanaona bado kabisa,maana nyumba Kagari is a basic and a must components.
Kwani umeacha kuishi?Wana JF hivi kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41?
Mpaka sasa nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.
Naanza kuona Kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.
Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF. Hivi Kuna possibility ya kutoboa kwa umri huo? Au ndio nishazeeka Tena!
ndio maana wanaosubiria wawe wa pole zamani za kale si walikuwa wanauana ili kuupata uongozi mapema, ila uzee, maradhi ni sababu ya kuretire.Hivi ukiwa malkia au mfalme, kumwachia mtu mpaka ufe? Kama ndivyo, je, Mungu akikupa umri mrefu, mathalani miaka 120, utaendelea kushikilia huo umalkia au ufalme?
Mkuu huu mtanamo wako mhhhhhKutoboa kimaisha ni
1. Kumjua na kumcha Mungu
2. Kuwa na Afya njema
3. Kusubiri kusudi la Mungu na hatma ya maisha yako.
Dunia isikuchanganye.
Kila kitu ni ubatili.
Alafu kwenye maisha hakuna mwenye hasara na atakayepata faida Kwa yote aliyotafanya zaidi ya Yule aliyetenda Mema
Hana elimu kivipimandonga ana miaka 42 na ana watoto wanne na hana elimu ila ametoboa tusikate tamaa kaka/anko wangu
Wabongo huwa nyumba tunajenga za kulala tu sijui kwa nini huwa tunaziita assert.Unanyumba sasa hapo shida ipo wapi??
Kitanzania huyo ni tajiri,wako watu wengi sana wana 60-75 tena Kwa asilimia kubwa sitaji wako apeche alolo,mungu awasaidie.Unamtia moyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]