911sep11
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,461
- 4,272
yani hujajibu nilicho uliza nimeuliza baada ya ku install hiyo app unagusisha hilo tunda kwenye sensor ipi ili kujia kuwa dawa iliyo puliwa ni kiasi gani?Uko nyuma sana ki technology, nimekuwekea mfano hiyo snap card, kwenye apple inafanya mautundu kibao sio sawa na hii ya android.
Pia apple utalinganisha na simu za bei range yake yaan kama apple ya milioni basi italingana na android device ya milioni ila huwezi linganisha apple na itel, tecno, infinix nope
Hapo hata suala la bei utaona sio huge difference
nijibu ili nikuabliane na wewe kua nipo nyuma kiteknolojia