Hivi kwanini bidhaa za Apple ni ghali?

yani hujajibu nilicho uliza nimeuliza baada ya ku install hiyo app unagusisha hilo tunda kwenye sensor ipi ili kujia kuwa dawa iliyo puliwa ni kiasi gani?

nijibu ili nikuabliane na wewe kua nipo nyuma kiteknolojia
 
Wakuu kichwa cha habari chahusika.
Nataka kufahamu kwa nini bidhaa za ki electronic za kampuni ya Apple ni ghali sana, kuanzia simu, ipad desktop nk. Kwa nini ni ghali ukilinganisha na zinazotumia windows, android.
Kwa sababu zina ubora wa hali ya juu kabisa.
 
Hapo no3. acha kabisa Password uso au fingerprint mchezoo haha lazma mchepukaji atunze usalama wake lol

hahahah.... very risk (finger print) mtu anakuvizia umelala anagusisha midole yako... bora PIN CODE
 
Bidhaa za apple zmetengenezwa special kwa consumers wenye uwezo wa kuzi afford sio kwa kila binadamu.
 
hahahah.... very risk (finger print) mtu anakuvizia umelala anagusisha midole yako... bora PIN CODE
I believe Apple watakua wamefikiria hilo
Na fingerprint sio kwamba inatumika pekeake na passcode pia inatumia
iPhone X na facial recognition bila shaka wanataka uso uwe active pia nadhani
 
ni vizuri wakifanya hivyo... mie napenda PIN CODE... hizo ndio uhakika.. mambo ya facial.. recognation.. unaweza ukaungua uso.. ikala kwako
 
Brand ni kitu chochote kinachoitambulisha bidhaa na kuitofautisha na bidhaa nyinginezo zilizopo katika soko kwa mfano jina, logo ,design ,ladha,harufu ,sound,design na vyote hivi huunda brand etc...

Brand kwa namna nyingine ni mahusiano kati ya mteja na kampuni au muuzaji yaani ,muuzaji anatengeneza wazo au utambulisho ambao anataka mteja auhusianishe pindi anapokutana na bidhaa au nembo yake kwa mfano mtu anapopoishika simu ya apple anaona ameshika kitu cha kipekee chenye ubora na ghali.... mtu anayeitumia hujiona bora na wa kisasa zaidi ...

Brand hutengenezwa kwa kuangalia aina ya mteja, jinsi kampuni inavyotaka kuhusiana nae, kutengenezwa kwa kitu kinachoendana nae na mwisho ..hutengeneza njia kama matangazo ili kumfikishia ujumbe wenye malengo tofauti...

Ukimuona clouds kafika pale hakufika kwa bahati mbaya maana walikuwepo wenginr pia kabla yake na hata ujuzi wa marketing wa Ruge unamfanya kuwa na advantage kubwa kulingnisha na wengineo...

Natumai umenisoma japo kwa uchache
 

Kwa maelezo hayo nakupa Tano. Hasa kwenye virus, natumia ipad ya apple lakini sioni kama kuna dalili za kuingiliwa virus, kwa device nyingine tahadhari za mara kwa mara zinatakiwa.Afu ni laini sana kutumia hakuna stac wala nini wakati device nyingine hata Sumsung hufanya magumashi sometime
 
processor za apple huwa neat sana..... yaan ila Blackberry software yao ni mbovu kupindukia... nilikuwa nayo moja blackberry BOLD daah unaflash leo.. kesho wadudu wamerudi..

ukiangalia siku hizi TECNO wanajifanya kukopi IPHONE wakaja na ANDROID version ya LOLIPOP ni nzuri sana.. ila ni mbaya vilevile.. maana sometimes simu inajipiga FACTORY reset.. muda mwingine inajipeleka katika WIFI activation na inastack mpaka uende kuflash ktk computer.. hasa hasa hizi W3/4
 
Wakuu kichwa cha habari chahusika.
Nataka kufahamu kwa nini bidhaa za ki electronic za kampuni ya Apple ni ghali sana, kuanzia simu, ipad desktop nk. Kwa nini ni ghali ukilinganisha na zinazotumia windows, android.

Sana sana wanachouza ni brand name, prestige, coolness, exclusivity(wachache wenye uwezo).

Kwenye security, quality, wako vizuri kama wadau wengine walivyosema.
 
Mku
Bidhaa za apple zmetengenezwa special kwa consumers wenye uwezo wa kuzi afford sio kwa kila binadamu.

Mkuu umemaliza! Sema wabongo wengi ambao hawana uwezo wanang'ang'ania. Repair simple tu Apple Store sio chini ya $300 coz wanajua kama mtu unaweza kuafford zaidi ya $1000 kununua product, huwezi shindwa repair.
 
snapcard inahusika na nin. sorry nakuomba unisaidie
Inapima kiasi cha dawa kilichopulizwa shambani, unanunua cards ziko halafu wakati unapiga dawa unaviweka sehemu tofauti tofauti shambani, ukimaliza unazikusanya kisha unatumia hii app kuanalyse, itakupa majibu kama ulipiga zaidi au kidogo pia itakuelekeza mwanzo wa shamba mpaka mwisho kama ulitumia dawa sawa
 
swali hili niliwahi kumuliza lecturer wangu wa IT, akanijibu kuwa Apple hawatengenezi products zake kwa ajili ya Africa, ni America na Europe tu! Sa sijui ukiwa USA hizi iPhone zinakuwa cheap ama vp
 
ahsante kwa kunijuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…