Jemedaree
JF-Expert Member
- Nov 22, 2021
- 676
- 2,024
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ukihitaji utanicheki...ukutane na wadau wenzako wanaomiliki vyuma hatariAse sorry master
Hapana sipo kene group bado
Nunua Premio, hata ukikaa nayo miaka 3 bei utakayouza kama umetunza vyema haitapungua zaidi ya million 3.5. Yani kama uliinunua 18M ni rahisi kuiuza kwa 14.5M kilaini mno ambapo hasara sio kubwa.Mimi nipo kwenye utata , Kati ya Nissan Duals na Premiho ipi ipo poa , uwezo wa kuagiza iliyotembea below 50000 miles , yyte Kati ya hzo ninao , nasita kwenye Premiho sababu naona kama ipo down Sana
Premio haiko chini boss sema pia haiko juu kama utai compare na SUV kubwa Mimi yangu imekuja na R15 size na sina mpango wa kubadirisha chochote maana nimepita tuta za njiani zote napita bila kunyunyiza na hata rough napita kwa namna yeyote labda kama utaifanya gari ya Shamba hilo sasa tatizo.Mimi nipo kwenye utata , Kati ya Nissan Duals na Premiho ipi ipo poa , uwezo wa kuagiza iliyotembea below 50000 miles , yyte Kati ya hzo ninao , nasita kwenye Premiho sababu naona kama ipo down Sana
Umetisha jombaaPremio haiko chini boss sema pia haiko juu kama utai compare na SUV kubwa Mimi yangu imekuja na R15 size na sina mpango wa kubadirisha chochote maana nimepita tuta za njiani zote napita bila kunyunyiza na hata rough napita kwa namna yeyote labda kama utaifanya gari ya Shamba hilo sasa tatizo.
Nikutamanishe na ka clip kidogo😀😀
View attachment 2764719
Hyo new model nayo inaonekana nzuri haswaPremio haiko chini boss sema pia haiko juu kama utai compare na SUV kubwa Mimi yangu imekuja na R15 size na sina mpango wa kubadirisha chochote maana nimepita tuta za njiani zote napita bila kunyunyiza na hata rough napita kwa namna yeyote labda kama utaifanya gari ya Shamba hilo sasa tatizo.
Nikutamanishe na ka clip kidogo😀😀
View attachment 2764719
Chief umemshauri Premio new au oldNunua Premio, hata ukikaa nayo miaka 3 bei utakayouza kama umetunza vyema haitapungua zaidi ya million 3.5. Yani kama uliinunua 18M ni rahisi kuiuza kwa 14.5M kilaini mno ambapo hasara sio kubwa.
Ila dualis kwa miaka hio hio tatu kama ulinunua 18M kuja kuiza 10M kwa tabu na mateso ni kawaida.
Premio newChief umemshauri Premio new au old
New nzuri sana aise hususani interior designPremio new
Cc: LamomyPremio new
Premio new
Sawa ukihitaji utanicheki...ukutane na wadau wenzako wanaomiliki vyuma hatari
Kwa garama ya hii gari ni bora nikaagiza Aud,ambayo unapata kilakitu
Ntakucheki soon
Upo serious?Kwa garama ya hii gari ni bora nikaagiza Aud,ambayo unapata kilakitu
Nimemrushia taulomsamehee boss hajui alinenalooo 😀 😀