Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Ujerumani kusimama leo pia kuna juhudi za Hitler
Nikirudi,kwa tanzania kiongozi ukichekacheka watu watakuzodoa tu

Ova
Nchi zahitaji Taasisi imara na si watu Imara.

Watanzania kamwe hawata chagua mtu mwenye tabia kama za yule mshenzi
 
Acha kujitoa ufahamu kitengo Cha maafa kipo miaka mingi sana na kina bajeti watu wanalipwa mishahara huko ndio kilipaswa kitoe msaada kwenye maafa kama Yale.

Kumbuka Ile pesa ni ya walipa Kodi sio yake binafsi so hawezi kutudhihaki ilihali kitengo kipo Bora kivunjwe tujue Moja.

Kingine watu walitoa rambirambi Tena mamilion ila serikali ikaelekeza rambi rambi kwenye kujenga Barabara na madaraja ilihali rambirambi ilitolewa kwa ajili ya wahanga. Yaani aliyekua anapewa pole ni wananchi sio serikali Cha kushangaza wananchi wakanyimwa Hela ila serikali ndio ikahodhi pesa zile.

Utajitahidi kutetea ila waTanzania wote bila kujali vyama walimshangaa sana JPM. Kama haitoshi Bado akasema Wana matatizo maana Mv Bukoba wao, UKIMWI wao, tetemeko wao as if hayo yote waliyapanga wenyewe.

Hakuwa na busara za uongozi kabisa yule Mzee.
Unauhakika ile michango ingeweza kutosheleza wananchi wote wa Mkoa wa Kagera kujengewa nyumba!au ukitaka ele zote ziishie mifukoni mwa viongozi badae muanze lawama tena.Ni bora mala mia Sasahivi pesa hiyo ilichokifanya kinaonekana ukifika pale Iyungo unaweza kuona kilichofanyika kuliko ile pesa kuishia kwenye matumbo ya viongozi, Maana hakuna mwananchi ambaye angepewa hiyo ela.
 
mama yenu kafanya kipi kipya cha maendeleo bado aliyoachiwa kashindwa kuimaliza kakalia kubembelezana na chandema na tumbuatumbua na kuteuwa maendeleo hakuna
 
Unauhakika ile michango ingeweza kutosheleza wananchi wote wa Mkoa wa Kagera kujengewa nyumba!au ukitaka ele zote ziishie mifukoni mwa viongozi badae muanze lawama tena.Ni bora mala mia Sasahivi pesa hiyo ilichokifanya kinaonekana ukifika pale Iyungo unaweza kuona kilichofanyika kuliko ile pesa kuishia kwenye matumbo ya viongozi, Maana hakuna mwananchi ambaye angepewa hiyo ela.
Kwanini mnawaza ufisadi tu muda wote kwani hao serikali mara ngapi wanakula Hela kwa kuongeza thamani ya miundombinu. Daraja la billion 5 utaambiwa billion 20 eti Leo hii ndio mnawaamini kuliko mchango wakipewa wananchi directly??

Pesa ingeweza isitoshe lakini ukarabati au temporary shelter pesa ingetosha kuliko watu kulala nje eti kisa serikali haikuleta tetemeko. Acheni kutetea ujinga, alifanya Yale sababu walimkataa 2015 na kuwapa upinzani kura za kumwagika halmashauri na ubunge juu. Ingekua Geita asingeropoka Yale maneno.
 
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.

Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.

Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.

Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?

View attachment 2478896
Swali la kufikifisha...
 
Ila yule mzee ule ukatili ni wa kishamba sana kule bukoba aliwakebehi lakini nje ya nyumba yake(msumbiji)akapeleka misaada kwa janga lile lile kama la Kagera!
 
Ukifanya utafiti utagundua kwamba eneo alilotokea ndio linaloongoza kwa ukatili barani Africa , wana asili ya unyama , mauaji ya albino na vikongwe wenye macho mekundu yameasisiwa huko
Japo hayo ulio yanatendeka huko ,lakini Huo utafiti wako kitakwimu umebuma.
 


Kungekuwa hakuna biashara ya bima ya makazi duniani kama serikali inawajibika kwenye natural disasters kuwajengea nyumba au kufanya repairs on the aftermath.

Sikiliza hiyo clip vizuri nyumba karibu 800 zilibomoka na 1200 zenye nyufa. Hiyo michango aikufika ata billioni 1, umjengee nani umwache nani kwa mchango huo.

Halikadhalika serikali kwa wajibu wake ilitimiza upande wake kwenye kuokoa watu, kutoa matibabu ya bure kwa wenye bima na wasio na bima. Ilipeleka madaktari bingwa wa ziada kutoka mikoa mengine na kufikisha vifaa vya dharura including chakula, magodoro na michango mingine, ilishiriki kuwatafutia watu makazi ya muda and so forth.

Kuna shule ziliaribika ambazo serikali ilikarabati, barabara na infrastructure zingine ambazo ni jukumu lao.

Hiyo speech ya Magufuli ilikuwa ni kama mwezi mmoja au mitatu baadae akawaambia ukweli kama kuna watu wanasubiri nyumba za kujengewa hazipo au unasibiri chakula cha serikali wakati mvua zinanyesha utasubiri sana.

Lakini sio kwamba awakutimiza wajibu wao, ata nchi za wenzetu hasa zenye maeneo ya wildfire moto ukiondoka na nyumba yako serikali itatenga jengo la muda la kuhifadhi watu. Ila ujue hiyo ni temporary solution baada ya hapo ni wewe na insurance yako, huna nenda shelter (wakusaidie) vinginevyo you are homeless huo ndio uhalisia.

Acha kujifanya kichaa wakati uko timamu. Rais wa nchi anasema yeye hakuleta tetemeko so serikali haihusiki na pesa akazichukua bado unatetea ujinga! Tanzania tuna watu wa hovyo sana kama wewe
 
Back
Top Bottom