Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Mwamba ikipita siku hajaandikwa walamba asali haishuki tumboni.

Mwamba alikuwa anataka watu waendelee kupambana na kuchapa kazi.

Wavivu wakaona siasa ipite na hadi sasa kila wanachofanya wanataka kujilinganisha na mwamba.

Bado sanaaa.. 2025 ukiutaka urais lazima utaji jina la mwamba ndipo upate kura.
Na wengi, hata wale ambao wakati wa uhai wake walifanya naye kazi na kumsifia sana, 2025 ili wapate kura, watamponda sana marehemu kama vile hawakuwahi kumpongeza wakati wa utawala wake.
 
Usisahau na kina mama wajawazito na masikini ambao hawakutozwa tozo pamoja na machinga na watanzania kiujumla walionufaika na miundombinu bora pamoja na matumizi mazuri ya fedha zao za kodi! Hao pia walikuwa watu wake!
Acha usukuma gang na utumie akili tu za kwaida, hakuna nchi ambayo hakuna masikini ila kuwa masikini siyo jambo la kujivunia kama unavyofanya. Huo umasikini wenu aliwatoa huko au bado mko huko?
 
Kama ndiyo hivi, nawahakikishia Hayati Magufuli ataendelea kutrend kwa muda mrefu sana, maana haipiti siku bila kuanzishiwa post mpya!

Siyo jambo la ajabu kutrend kila siku.

Hivi unadhani kuna dakika inapita bila ya shetani kutajwa? Watu wanaomba na kumkemea shetani wakati wote.

Wengine hufanya uasi kwa makusudi, lakini wakibanwa, wanapoomba msamaha wanasema shetani aliwapitia.
 
Vyeti fake vikisikia Mwamba anabagazwa vinatoka nduki kujifariji
Wewe kila kitu unawaza vyeti feki tu. Huyo mwamba wako alikuwa na vyeti fake na ndiyo chanzo cha kifo cha saa8. Rais mwovu namba moja ni Jiwe, Rais namba moja kupendwa na wajinga ni Jiwe pia
 
Wenye akili hawawezi kukuelewa mkuu, watu kama Bashite na Saambaya au wew ndiyo watakuelewa
Nitajie mradi mmoja tu mama yenu alioufanya nazidi ya ile filamu yake isiyokua na muelekeo... Magu ndiye rais Bora so far Hadi Sasa tangu Tanzania ianze
 
Alikosa hekima ya kusema tu lakini alikuwa sahihi! Siyo yeye aliyeleta tetemeko.
 
Nani mwizi kumshinda Jiwe?
Ulitaka awaongopee, umejenga nyumba. Nenda kaikatie bima. Yaje mafuriko, tetemeko la ardhi, iungue moto bima ikulipe.

Huna bima ya nyumba kuwa tayari kuishi na risks za ‘natural disasters’.

Magufuli alikuwa mkweli hakuna longolongo. Wenye roho mbaya ni mijizi isiyo na aibu wala huruma.
 
Sasa mkuu wewe si upo kwenye lile kundi mnalojivunia unyonge au nimekosea?
Upande wangu namtaja kama Rais mwana Mageuzi wa karne hii.
Katufungua akili ya kutaka maendeleo kwa kasi sana. Kazi kazi.
 
Magufuli in reality was the man of match, he speaking black and white of what he can do, and for what can't no matter what.

This was not a man who fought for populists as to be agreeable to majority for justify elusions.

He wasn't believe in political scams, he was believe in "one plus one is equal to two" , and not "it depends".
I know those who try to smear him any mud on him, they end up to be outsmarted.
 
Siyo jambo la ajabu kutrend kila siku.

Hivi unadhani kuna dakika inapita bila ya shetani kutajwa? Watu wanaomba na kumjemea shetani wakati wote.

Wengine hufanya uasi kwa makusudi, lakini wakibanwa, wanapoomba msamaha wanasema shetani aliwapitia.
Na kwa hakika asilimia kubwa humsingizia tu shetani.
 
Magufuli in reality was the man of match, he speaking black and white of what he can do, and for what can't no matter what.

This was not a man who fought for populists as to be agreeable to majority for justify elusions.

He wasn't believe in political scams, he was believe in "one plus one is equal to two" , and not "it depends".
I know those who try to smear him any mud on him, they end up to be outsmarted.
Duuuuuu. Tuje kwenye kimatumbi sasa
 
Yaani mnafikiri kuwabadili watu kutoka kuwa wavivu, wakaa vijiweni, wezi, makahaba, wala rushwa, matapeli, wakwepa kodi, wanaoshinda kwenye makanisa usiku na mchana, wachawi nk.. na kuwafanya kuwa wachapa kazi, wenye kupenda nchi yao, waaminifu mnafikiri unahitaji kubembelezana na watu wa hivi?...

Taifa halikengwi na watu wapumbavu na wajinga hata siku moja, bali hujengwa na watu werevu na wachapa kazi wenye kuipenda nchi na raia wenzio kwa moyo wote..... kuipeleka jamii huku unahitaji mkono wa chuma..
 
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.

Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.

Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.

Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?

View attachment 2478896
Mimi nadhani ni tatizo la makuzi zaidi. Jamaa inaonekana alikulia kwenye mazingira ''harsh'' sana ambayo yalimfanya awe katili.
 
Muende mkasome histori za mataifa yaliyoendelea na kupiga hatua kiasi cha kuwa mfano duniani muone kama kulikuwa kuna kuleana leana na kuchekeana chekeana.

Leo hii kila kijana mwenye nguvu amekuwa mwanasiasa, chawa wa wanasiasa, muimba bongo flavor na msanii, wadangaji, kubet na kila aina ta ujinga, YOTE HAYA CHANZO CHAKE NI WANASIASA WAPUMBAVU TUNAOWACHEKEA WANAOJALI MASLAHI BINAFSI NA KUWAFANYA WENGINE WATUMWA WAO NA CHAWA WAO..

Leo mtumishi mawaziri, wabunge nk wanaona hivyo vyeo kutumikia wananchi ni kama favor na sio lazima na hawana chochote cha kuoffer zaidi ya kutafuta umaarufu kwa raia na kuwapa viposho chawa kadhaa wawapake rangi ili waendelee kuwaslave Watanzania..
 
Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?
Kuwa katili ni kukosa utu na si ubinadamu.

Maendeleo na ustaarabu vinataka watu wawe binadamu yaani wanaotenda kwa haki na kupokea haki yao.

Utu unashadadiwa sana katika shida na umaskini, ili watu watendeane kwa huruma na kuhurumiwa.

Mwenye kuishi kwa kujiamini na kuwaamini kuwa watu wanao uwezo wa kujisimamia atapenda haki na huruma ataona kama vile kuwalemaza na kuwarudisha nyuma. Lakini asiyejiamini wala kuwaamini hao watu atapendekeza zaidi huruma

Mwisho mwishoni vyote vinatumika, sema tu kitakachokutawala kinategemea na jinsi unavyoiona dunia binafsi(personal wordview)
 
Mimi nadhani ni tatizo la makuzi zaidi. Jamaa inaonekana alikulia kwenye mazingira ''harsh'' sana ambayo yalimfanya awe katili.
Tofautisha hapa ubinadamu na utu Vs unyama na ukatili.

Bora uwe mkatili kuliko kuwa mnyama
 
Back
Top Bottom