Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Tena Tanzania inatakiwa aje kiongozi mkali kama Hitler au zaidi yake

Ova
Kwa hii kauli yako kwa waliyopitia watu enzi za Hitler wewe hakuna adhabu inakustahili! Unajua Hitler aliwachoma watu zaidi ya mil. 6 kwenye gesi? Yaani wanaiva mdogo mdogo hadi wanakufa!! Ni kosa gani binadamu mwenzako kafanya kustahili adhabu kama hiyo? Kosa gani watanzania wamefanya kustahili hiyo treatment?? Hii nchi/dunia ina wapuuzi wengi sana
 
Ulitaka awaongopee, umejenga nyumba. Nenda kaikatie bima. Yaje mafuriko, tetemeko la ardhi, iungue moto bima ikulipe.

Huna bima ya nyumba kuwa tayari kuishi na risks za ‘natural disasters’.

Magufuli alikuwa mkweli hakuna longolongo. Wenye roho mbaya ni mijizi isiyo na aibu wala huruma.
 
Kwa hii kauli yako kwa waliyopitia watu enzi za Hitler wewe hakuna adhabu inakustahili! Unajua Hitler aliwachoma watu zaidi ya mil. 6 kwenye gesi? Yaani wanaiva mdogo mdogo hadi wanakufa!! Ni kosa gani binadamu mwenzako kafanya kustahili adhabu kama hiyo? Kosa gani watanzania wamefanya kustahili hiyo treatment?? Hii nchi/dunia ina wapuuzi wengi sana
Ujerumani kusimama leo pia kuna juhudi za Hitler
Nikirudi,kwa tanzania kiongozi ukichekacheka watu watakuzodoa tu

Ova
 
Ujerumani kusimama leo pia kuna juhudi za Hitler
Nikirudi,kwa tanzania kiongozi ukichekacheka watu watakuzodoa tu

Ova
Hitler aliitia Ujerumani katika umasikini uliokithiri kwa vile vita alivyovianzisha.
Screenshot_20230114-001545_Chrome.jpg
 
Ujerumani kusimama leo pia kuna juhudi za Hitler
Nikirudi,kwa tanzania kiongozi ukichekacheka watu watakuzodoa tu

Ova
Not true, Germans wapo vizuri since kipindi cha Roman Empire wapo na nguvu, wao ndiyo mojawapo ya sababu ya anguko la warumi 300-600 AD!! Hitler was crazy MF, hana tofauti na huyu PUTIN mnayemsifu kila siku! The world doesnt need that, UONGOZI NI BUSARA SIYO VITISHO NA MAKELELE YA JUKWAANI! The worlds greatest people hawajawahi kuwa madikteta, watu wanaotaka kuwadrive binadamu wenzao kama mbuzi, kama wewe unapenda watu wa hivyo basi una tatizo mahali
 
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.

Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.

Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.

Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?

View attachment 2478896
Kwani Diallo aliposema jiwe alikuwa na faili Namirembe wewe hukumuelewa au unajitoa tu ufahamu?
 
Hivi mnaposema bila damu kumwagika mna maana gani? Kungekuwa na wa kumwaga damu basi ingemwagwa siku nyingi maana kilio cha miaka yote ni ccm kutoka madarakani ila tumebaki kujiambia kuwa watanzania ni waoga.

Sasa tukisema Magufuli katoka bila kumwagika damu inakuwa kama kuna hao wa kumwaga damu nchi hii au kulikuwa na uelekeo wa damu kumwagika wakati hadi leo hakuna hata dalili ya kutokwa vinundu tu kwa kuitoa ccm madarakani.
Rudisha picha ya mwenda zake mara hii unataka kuisahau na kuipotezea?
 
Kama kweli unadhamira ya dhati kuiletea maendeleo ya pamoja hii nchi basi HUNA BUDI KUWA KICHAA NA KATILI..

ILI NCHI HII IENDELEE KUNA WATU LAZIMA WAFE NA WENGINE LAZIMA WAUMIE, NA WENGINE WAWE JELA, maendeleo sio jambo la mchezomchezo kama wengi humu tunavyowaza.

NCHI imetekwa iko mikononi mwa manyng'au ambao wameslave mamilioni wa masikini wa Tanzania, kuwanyang'anya hao watu hii nchi na kuirudisha kwenye mikono ya Watanzania wooote na wote wakanufaika unahitaji kuwa KICHAA NA KATILI ZAIDI YA MAGUFULI.
 
Huruma na Upole wa Magufuli ndio ulimmaliza Magufuri na kumchosha, alipaswa kuwa katili na kichaa zaidi ya pale ili nchi ipone.

Hakuna Demokrasia kwa wapumbavu na wanyang'anyi, jamii hii inahitaji ukatili kabla ya kuingina kwenye civilization.
 
Stages za kuwatoa watu kwenye upumbavu na uprimitive ziko nyingi sana lakini stage one ni ukichaa na ukatili.

Uchawi ulisumbua sana Ulaya karne nyingi nyuma na stage one ya kuwamaliza ilikuwa kuwaua na kuwapoteza, Uvivu ulisumbua sana huko nyuma katila nchi ambazo tunaona leo zimeendelea lakini ulimalizwa kwa kulazimisha watu kufanya kazi kwa bidii na zana duni na wengine kufia huko.

Hata kuitawala Africa na sehemu nyingine duniani iliwalazimu Wazungu wengine wafe ili mataifa yao yanufaike na biashara ya ukoloni.
 
Ukatili na ukichaa ndio utamaliza wale waliowafanya wengine watumwa ndani ya nchi yao.

Leo hii mitoto yenu kwenye mashule ya Kata imejazana na matokeo mabovu na hakuna anayejali, Hizi shule za kata ndio zimejaa mamilioni ya watanzania ambao mwisho wa siku wanageuka kuwa watumwa kwenye nchi yao kwa kukosa elimu bora na maarifa.

Leo hii mitoto yenu inafeli huko mashuleni HESABU, PHYSIKIA NA KEMIA NA SCIENCE KWA UJUMLA na hakuna anayejali..

Watu hawa wenye mamlaka wanaofanya wengine kuwa watumwa mnataka tucheke nao tu.
 
Back
Top Bottom