Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Amka wewe, huo mwaka ulishapitaLissu hawezi gombea wewe.
2020 UTAELEWA SASA KWA NINI JPM BADO ANAISHI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amka wewe, huo mwaka ulishapitaLissu hawezi gombea wewe.
2020 UTAELEWA SASA KWA NINI JPM BADO ANAISHI
Huyu jiwe alikuwa robo mtu(animal nature ya jiwe ilikuwa 75% na human nature ilikuwa 25% tu)
Rais wa hovyo. Alizidiwa na Kenyatta alitoa misaada. Eti sikuleta tetemeko. Bull shit.
😂He was a disgrace yaani Rais mzima unaiba rambirambi bila hata aibu.
Yuko wapi sasa?!
Kwa hii kauli yako kwa waliyopitia watu enzi za Hitler wewe hakuna adhabu inakustahili! Unajua Hitler aliwachoma watu zaidi ya mil. 6 kwenye gesi? Yaani wanaiva mdogo mdogo hadi wanakufa!! Ni kosa gani binadamu mwenzako kafanya kustahili adhabu kama hiyo? Kosa gani watanzania wamefanya kustahili hiyo treatment?? Hii nchi/dunia ina wapuuzi wengi sanaTena Tanzania inatakiwa aje kiongozi mkali kama Hitler au zaidi yake
Ova
JPM alikuwa MegalomaniacTena Tanzania inatakiwa aje kiongozi mkali kama Hitler au zaidi yake
Ova
Ujerumani kusimama leo pia kuna juhudi za HitlerKwa hii kauli yako kwa waliyopitia watu enzi za Hitler wewe hakuna adhabu inakustahili! Unajua Hitler aliwachoma watu zaidi ya mil. 6 kwenye gesi? Yaani wanaiva mdogo mdogo hadi wanakufa!! Ni kosa gani binadamu mwenzako kafanya kustahili adhabu kama hiyo? Kosa gani watanzania wamefanya kustahili hiyo treatment?? Hii nchi/dunia ina wapuuzi wengi sana
Hitler aliitia Ujerumani katika umasikini uliokithiri kwa vile vita alivyovianzisha.Ujerumani kusimama leo pia kuna juhudi za Hitler
Nikirudi,kwa tanzania kiongozi ukichekacheka watu watakuzodoa tu
Ova
You dont have to define Bob .khaaaaHe was sadist = someone who feels happy when others are unhappy
Not true, Germans wapo vizuri since kipindi cha Roman Empire wapo na nguvu, wao ndiyo mojawapo ya sababu ya anguko la warumi 300-600 AD!! Hitler was crazy MF, hana tofauti na huyu PUTIN mnayemsifu kila siku! The world doesnt need that, UONGOZI NI BUSARA SIYO VITISHO NA MAKELELE YA JUKWAANI! The worlds greatest people hawajawahi kuwa madikteta, watu wanaotaka kuwadrive binadamu wenzao kama mbuzi, kama wewe unapenda watu wa hivyo basi una tatizo mahaliUjerumani kusimama leo pia kuna juhudi za Hitler
Nikirudi,kwa tanzania kiongozi ukichekacheka watu watakuzodoa tu
Ova
Kwani Diallo aliposema jiwe alikuwa na faili Namirembe wewe hukumuelewa au unajitoa tu ufahamu?Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.
Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.
Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.
Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?
View attachment 2478896
Rudisha picha ya mwenda zake mara hii unataka kuisahau na kuipotezea?Hivi mnaposema bila damu kumwagika mna maana gani? Kungekuwa na wa kumwaga damu basi ingemwagwa siku nyingi maana kilio cha miaka yote ni ccm kutoka madarakani ila tumebaki kujiambia kuwa watanzania ni waoga.
Sasa tukisema Magufuli katoka bila kumwagika damu inakuwa kama kuna hao wa kumwaga damu nchi hii au kulikuwa na uelekeo wa damu kumwagika wakati hadi leo hakuna hata dalili ya kutokwa vinundu tu kwa kuitoa ccm madarakani.