Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Sasa hapo ukatili uko wapi?

Shida yenu hamtaki kuambiwa ukweli na magu alikuwa anawaambia ukweli ambao nyie hamtaki kusikia

Mnataka kusikia uongo wa kwenye makaratasi Tu, serikali imetoa Bilion 10, au serikali imetoa trilion 5

Ukienda site hakuna kitu


Sasa si Bora magu alikuwa anasema ukweli?
Kivipi Kenyatta na Museveni waguswe na kadhaa Ile alafu Rais aseme hawezi toa msaada sababu serikali haikuleta tetemeko? Kwani Kenyatta aliyesaidia alileta tetemeko? Mbona Kuna kitengo Cha maafa kazi yake ni Nini kama serikali haipaswi kufidia majanga Ile bajeti Ina kazj Gani?
 
Hata ukisikiliza kwenye clip magu amesema serikali itarudisha Miundombinu yake ndio kama hizo barabara, zahanati tofaut mama Samia ametumia lugha nyepesi na magu alikuwa anatumia lugha ngumu ila wote wamefanya kitu kile kile
Acha kutetea ujinga, michango ilichangwa kwa ajili ya wahanga alafu serikali ikaichukua na kuipeleka walipotaka wao. Hebu tafakari nyumba yako imeharibiwa na tetemeko afu msaada umetolewa ili ujengewe nyumba ingine afu serikali inasema hizo fedha zikajenge madarasa. Hapo utajisikiaje?
Arusha watoto walikufa (Ajali yagari ya St. lack vicent ) rambirambi zikachangwa afu baadae inaamuliwa pesa hizo zikakarabati hospitali!? yani tulifikishwa kubaya sana.

Binafsi mimi siikubali ccm wala sio mfuasi wa Mama Samia ila kiukweli na kiungwana Mama anafanya mambo makubwa na tunapaswa kumuunga mgono. Rais ndie raia namba moja anatakiwa kuonyesha utu kwa vitendo na mama hilo analifanya
 
Kivipi Kenyatta na Museveni waguswe na kadhaa Ile alafu Rais aseme hawezi toa msaada sababu serikali haikuleta tetemeko? Kwani Kenyatta aliyesaidia alileta tetemeko? Mbona Kuna kitengo Cha maafa kazi yake ni Nini kama serikali haipaswi kufidia majanga Ile bajeti Ina kazj Gani?

Hiko kitengo cha maafa lini uliwahi kusikia kimefanya anything?

Sijui kama ulikuwa umezaliwa wakati jangwani imejaa maji mpaka watu wakaja na boti za wavuvi kutoka feri

Achana na mambo ya makaratasi,

Magu alisema ukweli na alifanya ukweli

Alijenga barabara zilizoharibika na mvua na alijenga hospital zilizoharibika na tetemeko

Hakujenga nyumba ya mtu
 
Acha kutetea ujinga, michango ilichangwa kwa ajili ya wahanga alafu serikali ikaichukua na kuipeleka walipotaka wao. Hebu tafakari nyumba yako imeharibiwa na tetemeko afu msaada umetolewa ili ujengewe nyumba ingine afu serikali inasema hizo fedha zikajenge madarasa. Hapo utajisikiaje?
Arusha watoto walikufa (Ajali yagari ya St. lack vicent ) rambirambi zikachangwa afu baadae inaamuliwa pesa hizo zikakarabati hospitali!? yani tulifikishwa kubaya sana.

Binafsi mimi siikubali ccm wala sio mfuasi wa Mama Samia ila kiukweli na kiungwana Mama anafanya mambo makubwa na tunapaswa kumuunga mgono. Rais ndie raia namba moja anatakiwa kuonyesha utu kwa vitendo na mama hilo analifanya

Pesa za msaada wa kitu flan kupangiwa matumizi mengine ni Jambo la kawaida

Hata ela za msaada wa covid tumejenga madarasa sasa shida ni nn?

Hakuna family zimeadhirika na covid? Mbona hizo ela hawakupewa zimeenda kujenga madarasa?
 
Kweli JPM alikuwa katili ila alikuwa katili kwa mafisadi na wapiga deal
 
Kweli JPM alikuwa katili ila alikuwa katili kwa mafisadi na wapiga deal

Na ndio wengi ambao wanapiga kelele

Mtu ambae ulikuwa unapata hela yako Kwa haki uwez kumchukia magufuli
 
Angalia watu wake kama Bashite, Saambaya, Mnyeto ndiyo utajua huyo mungu wenu alikuwa mtu wa aina gani
Usisahau na kina mama wajawazito na masikini ambao hawakutozwa tozo pamoja na machinga na watanzania kiujumla walionufaika na miundombinu bora pamoja na matumizi mazuri ya fedha zao za kodi! Hao pia walikuwa watu wake!
 
Kama ndiyo hivi, nawahakikishia Hayati Magufuli ataendelea kutrend kwa muda mrefu sana, maana haipiti siku bila kuanzishiwa post mpya!
Ni kweli kabisa. Hatakaa awepo rahisi mwingine anayeweza kula michango ya wahanga kumzidi. Hili na mengine ya namna ya hii yatadumu daima.
 
Hata ukisikiliza kwenye clip magu amesema serikali itarudisha Miundombinu yake ndio kama hizo barabara, zahanati tofaut mama Samia ametumia lugha nyepesi na magu alikuwa anatumia lugha ngumu ila wote wamefanya kitu kile kile
Mama Samia ni tofauti kabisa na Magu.
 
Acha kutetea ujinga, michango ilichangwa kwa ajili ya wahanga alafu serikali ikaichukua na kuipeleka walipotaka wao. Hebu tafakari nyumba yako imeharibiwa na tetemeko afu msaada umetolewa ili ujengewe nyumba ingine afu serikali inasema hizo fedha zikajenge madarasa. Hapo utajisikiaje?
Arusha watoto walikufa (Ajali yagari ya St. lack vicent ) rambirambi zikachangwa afu baadae inaamuliwa pesa hizo zikakarabati hospitali!? yani tulifikishwa kubaya sana.

Binafsi mimi siikubali ccm wala sio mfuasi wa Mama Samia ila kiukweli na kiungwana Mama anafanya mambo makubwa na tunapaswa kumuunga mgono. Rais ndie raia namba moja anatakiwa kuonyesha utu kwa vitendo na mama hilo analifanya
Anafanya mambo makubwa kwa kumlinganisha Magufuli au umetimia vigezo kuona anafanya mambo makubwa?
 
Sometimes ukisema ukweli unaonekana mbaya...lakini ukweli ndio hio tetemeko ni natural disaster lazima wananchi tujue hilo
 
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.

Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.

Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.

Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?

View attachment 2478896
Bt usisahau kuwa sa100 alikuwa Makamo wa Magu,

Pia walikuwa chama kimoja CCM.
 
Na ndio wengi ambao wanapiga kelele

Mtu ambae ulikuwa unapata hela yako Kwa haki uwez kumchukia magufuli
Hata walioshambuliwa kwa risasi au ambao ndugu zao 'wamepotezwa' mfano wazazi wa Ben Saanane pia hawana sababu ya kumchukia mwendakuzimu Jiwe?
 
Back
Top Bottom