Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Ujerumani kusimama leo pia kuna juhudi za Hitler
Nikirudi,kwa tanzania kiongozi ukichekacheka watu watakuzodoa tu

Ova
Nchi zahitaji Taasisi imara na si watu Imara.

Watanzania kamwe hawata chagua mtu mwenye tabia kama za yule mshenzi
 
Unauhakika ile michango ingeweza kutosheleza wananchi wote wa Mkoa wa Kagera kujengewa nyumba!au ukitaka ele zote ziishie mifukoni mwa viongozi badae muanze lawama tena.Ni bora mala mia Sasahivi pesa hiyo ilichokifanya kinaonekana ukifika pale Iyungo unaweza kuona kilichofanyika kuliko ile pesa kuishia kwenye matumbo ya viongozi, Maana hakuna mwananchi ambaye angepewa hiyo ela.
 
mama yenu kafanya kipi kipya cha maendeleo bado aliyoachiwa kashindwa kuimaliza kakalia kubembelezana na chandema na tumbuatumbua na kuteuwa maendeleo hakuna
 
Kwanini mnawaza ufisadi tu muda wote kwani hao serikali mara ngapi wanakula Hela kwa kuongeza thamani ya miundombinu. Daraja la billion 5 utaambiwa billion 20 eti Leo hii ndio mnawaamini kuliko mchango wakipewa wananchi directly??

Pesa ingeweza isitoshe lakini ukarabati au temporary shelter pesa ingetosha kuliko watu kulala nje eti kisa serikali haikuleta tetemeko. Acheni kutetea ujinga, alifanya Yale sababu walimkataa 2015 na kuwapa upinzani kura za kumwagika halmashauri na ubunge juu. Ingekua Geita asingeropoka Yale maneno.
 
Swali la kufikifisha...
 
Ila yule mzee ule ukatili ni wa kishamba sana kule bukoba aliwakebehi lakini nje ya nyumba yake(msumbiji)akapeleka misaada kwa janga lile lile kama la Kagera!
 
Ukifanya utafiti utagundua kwamba eneo alilotokea ndio linaloongoza kwa ukatili barani Africa , wana asili ya unyama , mauaji ya albino na vikongwe wenye macho mekundu yameasisiwa huko
Japo hayo ulio yanatendeka huko ,lakini Huo utafiti wako kitakwimu umebuma.
 
Acha kujifanya kichaa wakati uko timamu. Rais wa nchi anasema yeye hakuleta tetemeko so serikali haihusiki na pesa akazichukua bado unatetea ujinga! Tanzania tuna watu wa hovyo sana kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…