Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Magufuli hakuwahi kusafiri nje ya Africa na wala hakupandisha gharama za maisha lakini alifanya yafuatayo.............👇

1. JPM anajenga Reli ya Mwendo kasi – SGR.
2. JPM anajenga Bwawa la Umeme – Nyerere HydroPower.
3. JPM amenunua Ndege 13 aina tofautitofauti.
4. JPM amejenga Ikulu kule Dodoma na yale Magorofa ya Wizara kule Mji wa Serikali Dodoma ( Mtumba) Magufuli City
5. JPM amehamisha Makao Makuu ya Serikali na ameijenga Dodoma imekuwa Jiji
6. JPM amejenga FlyOver Dar es Salaam pale Ubungo na TAZARA.
7. JPM amejenga daraja la Tanzanite pale Selander.
8. JPM ametengeneza huu Mfumo wa Kompyuta wa Malipo ya Serikali.
9. JPM alikuwa anaweka umeme hadi Vijijini (kwa Tsh. 27,000/= tu.)
10. JPM ameshawishi Bomba la Mafuta kutoka Uganda lipite Tanzania.
11. JPM anajenga daraja la Kingongo Ferry Busisi kule ziwa Victoria.
12. JPM amejenga Meli kubwa mbili mbili kila ziwa, yaani Ziwa Victoria 2, Ziwa Tanganyika 2 na Ziwa Nyasa 2.
13. JPM amejenga Hospital za Kanda kubwa nne… Dodoma, Mara, Mtwara, Geita na Songea
14. JPM amejenga Hospitali za Wilaya Zaidi ya 70
15. JPM amejenga Mradi Mkubwa wa Maji ya Victoria kule Tabora
16. JPM amejenga Mradi wa Maji Mkubwa Arusha
17. JPM amejenga Barabara ya Njia Nane Dar es Salaam hadi Kibaha
18. JPM alikuwa anajenga Mizani za Kisasa kabisa Kwenye Barabara zote kubwa
19. JPM amejenga Vituo vya Afya Zaidi ya 500
20. JPM amejenga na Kununua Rada 4 za AirPort
21. JPM amejenga Viwanja vya Ndege Mara, Iringa, Mbeya, Chato, Songea na Rukwa
22. JPM amejenga Masoko ya Madini kila Mikoa yenye migodi ya madini
23. JPM amejenga ukuta wa Mirerani na kuweka Camera za Ulinzi
24. JPM amejenga Bandari Kilwa, na kuzipanua Bandari Mtwara, Tanga na Dar es Salaam
25. JPM amejenga Masoko ya Kisasa zaidi, ya maana kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam
26. JPM amejenga Bus Stand za Kisasa Zaidi mikoani kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam
27. JPM amenunua Vifaa Tiba kama MRI, CT Scan, Vifaa vya Kufanyia Oparations za Moyo pale JKCI Wagonjwa wanatoka nchi jirani Kenya,Comoro,Uganda,Msumbiji,Zambia na Malawi,kuja kutibiwa,Ahsante Rais Magufuli.
Umesahau na hii Jpm kajenga stendi ya mabasi ya kisasa na kubwa kuliko zote afrika mashariki.
 
Magufuli hakuwahi kusafiri nje ya Africa na wala hakupandisha gharama za maisha lakini alifanya yafuatayo.............[emoji116]

1. JPM anajenga Reli ya Mwendo kasi – SGR.
2. JPM anajenga Bwawa la Umeme – Nyerere HydroPower.
3. JPM amenunua Ndege 13 aina tofautitofauti.
4. JPM amejenga Ikulu kule Dodoma na yale Magorofa ya Wizara kule Mji wa Serikali Dodoma ( Mtumba) Magufuli City
5. JPM amehamisha Makao Makuu ya Serikali na ameijenga Dodoma imekuwa Jiji
6. JPM amejenga FlyOver Dar es Salaam pale Ubungo na TAZARA.
7. JPM amejenga daraja la Tanzanite pale Selander.
8. JPM ametengeneza huu Mfumo wa Kompyuta wa Malipo ya Serikali.
9. JPM alikuwa anaweka umeme hadi Vijijini (kwa Tsh. 27,000/= tu.)
10. JPM ameshawishi Bomba la Mafuta kutoka Uganda lipite Tanzania.
11. JPM anajenga daraja la Kingongo Ferry Busisi kule ziwa Victoria.
12. JPM amejenga Meli kubwa mbili mbili kila ziwa, yaani Ziwa Victoria 2, Ziwa Tanganyika 2 na Ziwa Nyasa 2.
13. JPM amejenga Hospital za Kanda kubwa nne… Dodoma, Mara, Mtwara, Geita na Songea
14. JPM amejenga Hospitali za Wilaya Zaidi ya 70
15. JPM amejenga Mradi Mkubwa wa Maji ya Victoria kule Tabora
16. JPM amejenga Mradi wa Maji Mkubwa Arusha
17. JPM amejenga Barabara ya Njia Nane Dar es Salaam hadi Kibaha
18. JPM alikuwa anajenga Mizani za Kisasa kabisa Kwenye Barabara zote kubwa
19. JPM amejenga Vituo vya Afya Zaidi ya 500
20. JPM amejenga na Kununua Rada 4 za AirPort
21. JPM amejenga Viwanja vya Ndege Mara, Iringa, Mbeya, Chato, Songea na Rukwa
22. JPM amejenga Masoko ya Madini kila Mikoa yenye migodi ya madini
23. JPM amejenga ukuta wa Mirerani na kuweka Camera za Ulinzi
24. JPM amejenga Bandari Kilwa, na kuzipanua Bandari Mtwara, Tanga na Dar es Salaam
25. JPM amejenga Masoko ya Kisasa zaidi, ya maana kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam
26. JPM amejenga Bus Stand za Kisasa Zaidi mikoani kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam
27. JPM amenunua Vifaa Tiba kama MRI, CT Scan, Vifaa vya Kufanyia Oparations za Moyo pale JKCI Wagonjwa wanatoka nchi jirani Kenya,Comoro,Uganda,Msumbiji,Zambia na Malawi,kuja kutibiwa,Ahsante Rais Magufuli.
NOTHING
 
Wewe Serikali kuamisha mafungu ya pesa za maafa ni jambo la kawaida labda kama mna chuki na Magufuli, juzi Serikali ya Samia ilikopa fedha IMF kusaidia waanga wa Covid, baada ya kuwasaidia hao waanga zikapelekwa kujenga madarasa na Zahanati, mbona hatukuwahi kusikia izo kelele?
Acha kutetea ujinga mfuko wa maafa unawekwa pesa za walipakodi so kama pesa za majanga zilihamishwa Bora angekiri sio kuanza kurusha matusi kwani angesema alotumia zile Hela za mfuko kujenga Barabara wangempinga? Ila akaanza matusi mara UKIMWI Bukoba, mara Katerero, sijui mto ngono, MV Bukoba, mara Vita wao, mara Tetemeko wao as if waliyaomba hayo majanga.

Kuhusu Samia kusaidia wahanga huwa sio mtu binafsi kupewa Hela mkopo haufanyi kazi hivyo. Ila unapoomba unaandika ni miradi Gani utafanya itakayochochea uchumi Ili madhara ya COVID 19 yamezwe. Sio unakopa Billion 300 afu eti ugawe kwa wahanga hamna mkopo utapewa!!

Ila mfuko wa maafa ndio kazi yake hiyo, same tu misaada aliotoa Kenyatta na Museveni Cha kushangaza pesa zote za rambirambi eti zielekezwe serikalini. Ghafla pesa zile zimejenga Barabara na madaraja huku wananchi hawana pa kuishi.

JPM alikua ana chuki za ajabu sana, yaani kisa walimkataa totally 2015 basi ndio chuki zikawa kubwa.
 
Alionesha maisha ya hofu na uchaji wa Mungu na kuwataka watanzania kumpatia Mwenyezi Mungu kipaumbele cha kwanza katika maisha yao.
JPM yupi alikua mcha Mungu? Si ndio alikua anatembea nje ya ndoa kivipi Tena mcha Mungu? Si ndio huyo huyo alisema Maalim asipewe Hela za matibabu kisa kamnyima SheIn mkono!! Si ndio huyo huyo alitaka kumuua Lissu?? Mcha Mungu avuruge uchaguzi 2020?

Aiseee acheni kukufuru, sio Kila anayemtaja Mungu jukwaani ni mcha Mungu wengine ni unafiki tu kuonekana wema. Hivi si Majaliwa alidanganya msikitini kabisa yaani mtu anaongea uongo ndani ya msikiti alafu Bado mnadhani hao viongozi Wana hofu ya Mungu kweli?
 
Wewe na huyo baba yako zitto hata leo mkifa tutawakumbuka kwa lipi labda tena kuhusu huo mradi usichukulie poa zimepita awamu ngapi za urais zimeshindwa kuanzisha.J.P.M Bado mtamuimba tu
We ndio hujitambui eti kisa shangwe, Ile ni appreciation sababu ule mradi ulifanyika awamu yake Wala Haina maana ndio approval ratings. Kama ni hivyo mara ngapi huyo Samia anampinga vijembe JPM na hao wananchi wanashangilia.
Huyo
 
Katili amejenga barabara za kutosha, kawajali wanyonge,kapambana kurudisha umeme kiwa stable,kaboresha afya, elimu na kukuza uchumi. Katili ni huyu anayetoza masikini tozo, analambisha watu asali,anaua wagonjwa kwa miundombinu mibovu,anatumia hovyo fedha za masikini kusafiri na walamba asali n.k huyu ni zaidi ya muuaji na katili, alipaswa kuwepo jela
Ila
Samia mjanja
1. Samia alitafuta maridhiano ndani ya ccm kwanza ndio maana anaenda sambamba na ccm kwa ujumla wake kwenye mazungumzo na kila kitu

JK ALITAKA KATIBA MPYA BILA support ya Ccm ndio maana alikwama.
Ila hii nchi ina watu wajinga sijawahi ona ndio maana wanasiasa wanatafuna tu kodi zetu
 
Acha kutetea ujinga mfuko wa maafa unawekwa pesa za walipakodi so kama pesa za majanga zilihamishwa Bora angekiri sio kuanza kurusha matusi kwani angesema alotumia zile Hela za mfuko kujenga Barabara wangempinga? Ila akaanza matusi mara UKIMWI Bukoba, mara Katerero, sijui mto ngono, MV Bukoba, mara Vita wao, mara Tetemeko wao as if waliyaomba hayo majanga.

Kuhusu Samia kusaidia wahanga huwa sio mtu binafsi kupewa Hela mkopo haufanyi kazi hivyo. Ila unapoomba unaandika ni miradi Gani utafanya itakayochochea uchumi Ili madhara ya COVID 19 yamezwe. Sio unakopa Billion 300 afu eti ugawe kwa wahanga hamna mkopo utapewa!!

Ila mfuko wa maafa ndio kazi yake hiyo, same tu misaada aliotoa Kenyatta na Museveni Cha kushangaza pesa zote za rambirambi eti zielekezwe serikalini. Ghafla pesa zile zimejenga Barabara na madaraja huku wananchi hawana pa kuishi.

JPM alikua ana chuki za ajabu sana, yaani kisa walimkataa totally 2015 basi ndio chuki zikawa kubwa.
Hojazenu ni nyepesi na zakijinga sana.
 
Huyo mwamba wako ni motoni tu, hakuna option nyingine. Bila Mungu kuingilia kati sijui nchi hii ingekuwa wapi
Aisee mbona unakufuru sana MUNGU
Sijui ni dini gani lakini ni dhambi kubwa sana kumuhukumu wewe sio mungu. Hadi utoe hukumu binadamu hatujakamilika kila mtu ana madhaifu yake na mimi na wewe ni marehemu watarajiwa tunaosubili hukumu yetu hatujui itakuwaje.
 
JPM yupi alikua mcha Mungu? Si ndio alikua anatembea nje ya ndoa kivipi Tena mcha Mungu? Si ndio huyo huyo alisema Maalim asipewe Hela za matibabu kisa kamnyima SheIn mkono!! Si ndio huyo huyo alitaka kumuua Lissu?? Mcha Mungu avuruge uchaguzi 2020?

Aiseee acheni kukufuru, sio Kila anayemtaja Mungu jukwaani ni mcha Mungu wengine ni unafiki tu kuonekana wema. Hivi si Majaliwa alidanganya msikitini kabisa yaani mtu anaongea uongo ndani ya msikiti alafu Bado mnadhani hao viongozi Wana hofu ya Mungu kweli?
Uchaguzi wa 2020 Magufuli aliuharibu vip.
Ivi ukikaa mwenyewe umetulia na akilizako zote ulidhani nani angeshinda uleuchaguzi 2020?.

Kwanini unasema 2020 uchaguzi uliharibiwa, vipi kuhusu 2015 uchaguzi ulikuwa halali??.
 
Hao ndio wanaofi
Wewe ambaye unamshutumu kua kaiba,utaishi milele?
Uwe mwizi,mwema,mhuni,mtakatifu na hata uwe na madaraka yoyote yale,au usiwe na madaraka yoyote yale,kufa kama alivyokufa JPM,utakufa.
Msione yeye kufa kwake,ni kama adhabu,hapana ile ni njia ambayo kila anayeisoma hii komenti,ataiptia,na hata ambaye hajaisoma na labda hataisoma,lazima waipite hiyo njia,halikadhalika na mimi niandikaye.
Wao wanafiKiri kwamba mtu akifa basi ndio muovu wanaobaki ndio watu wema .ndio maana nasema Watanzania walio wengi ni wajinga kupita kiasi .
 
Hata asipogombea hoja ni kwamba Chadema is against JPM so does CCM ya Samia. Sasa JPM Wa Nini? Move on tuna matatizo mengi kama Umeme, mfumuko wa bei, bunge dhaifu, ajira, kilimo n.k hayo ndiyo yataamua Rais wa 2025 sio marehemu ambaye ameshaoza.
Na kama Chadema hatataka kushindwa bsi aende against Magufuli au amtukane uone
 
Nitajie mradi mmoja tu mama yenu alioufanya nazidi ya ile filamu yake isiyokua na muelekeo... Magu ndiye rais Bora so far Hadi Sasa tangu Tanzania ianze
Nakutajijia.
1.Katoa msaada mafuriko ya mbeya
2. Filamu aliyoigiza
Ndio hizo ninazozijua
 
We
Acha usukuma gang na utumie akili tu za kwaida, hakuna nchi ambayo hakuna masikini ila kuwa masikini siyo jambo la kujivunia kama unavyofanya. Huo umasikini wenu aliwatoa huko au bado mko huko?
Wee jamaaa ni mjinga sijapata kuona😃
 
ASANTE SANA
Uamuzi wa ukifa unaenda mbinguni au peponi sio uamuzi wa Mungu, wala sio mamlaka ya Mungu, mamlaka ya Mungu ni kukuumba na kifo!. Baada ya kuumbwa Mungu ameelekeza uishije, ukiishi jinsi ile Mungu ameelekeza kwa kumfuata Mungu na kutenda mema, utaingia peponi, ukiishi kwa kufuata ya shetani, utamfuata shetani!. Hivyo uamuzi wa unakwenda wapi baada ya kifo, uko kwako mwenyewe na sio kwa Mungu. Hivyo kinachokuingiza mbinguni ni matendo yako.

Ukiondoa wale watakaingia mbinguni kwa matendo yao, kuna baadhi ya watu ambao wataingia mbinguni kwa neema tuu, na sio kwa matendo, hivyo JPM yuko peponi. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
 
mama yenu kafanya kipi kipya cha maendeleo bado aliyoachiwa kashindwa kuimaliza kakalia kubembelezana na chandema na tumbuatumbua na kuteuwa maendeleo hakuna
Zaidi ya maisha kuwa magumu tu kodi kila mahali
 
Back
Top Bottom