Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Anayo magagau na makenya yameanza kukatika ,.Ana "makenya"? eti mlongo..!! Au "magagau"?
Kwa staili hiyo socks lazima ziishe😄😄
TOfauti, hiyo Arrow ya grey makenya ,. Red ni magaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayo magagau na makenya yameanza kukatika ,.Ana "makenya"? eti mlongo..!! Au "magagau"?
Watu wa daslamu bhana sasa mguu wa mwanaume usuguliwe ili iwe? Evelyn Salt 😁😁😁Sugua miguu mkuu
Jamani wachambuzi tunao..!! 😀😀😀😀Anayo magagau na makenya yameanza kukatika ,.
Kwa staili hiyo socks lazima ziishe😄😄
TOfauti, hiyo Arrow ya grey makenya ,. Red ni magaga
View attachment 3198619
Mmeanza kuchana sox mtachana na mablanket sugueni miguuWatu wa daslamu bhana sasa mguu wa mwanaume usuguliwe ili iwe? Evelyn Salt 😁😁😁
Atachana mashuka buana,.Watu wa daslamu bhana sasa mguu wa mwanaume usuguliwe ili iwe? Evelyn Salt 😁😁😁
Hamna bhana huyu asipoangalia atachana mashuka na neti🤒Jamani wachambuzi tunao..!! 😀😀😀😀
Akija kulala Mkomi pale, lazima achane mashuka ya watuAtachana mashuka buana,.
Aisee we unapajua hadi Mkomi😄😄Akija kulala Mkomi pale, lazima achane mashuka ya watu
nunua kitambaa ukashoneshe soks kwa fundi cherehan soks za kitambaa.....au za jinsi haziish upes hizoView attachment 3198594
Hivi kwanini kila soksi ninazonunua zinaisha hivi hata miezi 3 haifiki? 😡😡😡 Ni mimi tu au nitafute soksi za chuma??? Kwa sababu nimechoka!
Aisee,.nunua kitambaa ukashoneshe soks kwa fundi cherehan soks za kitambaa.....au za jinsi haziish upes hizo
Huko kunyumba..!! Neshinali yote naijua...!! Na magagau yake hawezi lala Angoni amrs ya zamaniAisee we unapajua hadi Mkomi😄😄
Wataalam wa VAR Mmefika.View attachment 3198600
Braza sugua miguu na uipake mafuta, hata wewe ndo ungekua hiyo soks ungechanika tu.....
Angoni Arms saizi pamebaki magofu tu aisee,😄Huko kunyumba..!! Neshinali yote naijua...!! Na magagu yake hawezi lala Angoni amrs ya zamani
Ya yi mwandiAngoni Arms saizi pamebaki magofu tu aisee,😄
Na hapo tumeshindwa tu kupata picha ya harufu..!!Maskini soksi zako zinateseka sana
Huyo sio mwalimu, waalimu wanavaa sox nzito. Huyo ni wale jamaa wa ukija ukamleta na mwenzako na mwenzako akimleta mwenzake…….salamu yao ni goodmorning hata usiku.Unatembea umbali mrefu Kila siku na viatu vya mokasini. Bila shaka wewe ni mwalimu. Si ununue hata ka bodaboda ili upunguze kidogo kutembea mwendo mrefu?