The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Watakuja kukwambia "Nunua Gari yakutembelea"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu.Ikabidi nijifunze kuvaa soksi ila nilipata shida kama mtu anaanza tumia ndom kwa mara ya kwanza ,kuzizoea lakin🤗
Kumbe kuna JF members wana magagana😆😆View attachment 3198594
Hivi kwanini kila soksi ninazonunua zinaisha hivi hata miezi 3 haifiki? 😡😡😡 Ni mimi tu au nitafute soksi za chuma??? Kwa sababu nimechoka!
Dada mpishi kusugua ndio nini tena?😁Huwa unasugua miguu? 😄
Pambana muda unakimbia, matajiri sisi kufua soks mwisho x2! Tunagawa kwa wachovu😂Ila ni dalili za mtu anaetafuta hazina ili aje kuwa na dalili za utajiri 😁😁😁 tusikatishane tamaa tajiri.
😀😀Kusugua GagaDada mpishi kusugua ndio nini tena?😁
Ninavyojua mimi hayo makitu ni asili ya ngozi ya miguu tu na mara nyingi hutegemea na unaishi kwenye udogo wa aina gani🤔😀😀Kusugua Gaga
Shida ni kiatu chakoView attachment 3198594
Hivi kwanini kila soksi ninazonunua zinaisha hivi hata miezi 3 haifiki? 😡😡😡 Ni mimi tu au nitafute soksi za chuma??? Kwa sababu nimechoka!
Kabisa japo wanawake Huwa tunajitahid sababu wapenda urembo ila Kuna watu ngoz zao za miguu ni kavu sanaNinavyojua mimi hayo makitu ni asili ya ngozi ya miguu tu na mara nyingi hutegemea na unaishi kwenye udogo wa aina gani🤔
Miguu hua ni dalili kubwa sana ili kuujua uchumi wa muhusika.Ninavyojua mimi hayo makitu ni asili ya ngozi ya miguu tu na mara nyingi hutegemea na unaishi kwenye udogo wa aina gani🤔
Inaweza kuwa kweli ila katika harakati za kuitafuta hazina ili uwe na huo uchumi haya makitu yanaweza kukupata hadi mikononi 😁😁Miguu hua ni dalili kubwa sana ili kuujua uchumi wa muhusika.
Watu bwana; cjui hata walinkona nikinunua izo soksi za buku, wanajua hata naishi wapi??? Na baada ya kujibu swali wanaongea utumbo tu; hii nchi we deserve the leaders we have; no wonder hatujafika popoteUna soksi pea tano ulizonunua bukubuku bado unalalamika zinatoboka kazi unayo!
Mwanaume uliyekamilika inatakiwa uwe na boxer na singlend zisizo pungua ishirin ishirin soksi inatakiwa uwe nazo mpaka uzikumbuki si unawaza mpaka zilizotiboka!
Mwanamme anapaka miguu mafuta? Juzi tena nimeona jamaa mwingine anashauriwa apake mafuta makalio. Tusameheni tutaendelea kupaka mafuta sehem zinazoonekana tu, full stopBraza sugua miguu na uipake mafuta,
Mara nyingi watu mnaoona kila kitu ni ushoga ndo huwa mashoga waliokubuhuQ
Mwanaume unasuguaaje miguu unataka kuwa shoga