Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Umenikumbusha Mahenge, Seedfarm..!! Makambi karibu na josho..!!MAkambi mojaaa
NJoo p.m kwanzaππ
Unataka mwenzio aanze kuzalisha umeme visigino vinapogusa mashuka?
Expert nyie ndio huwa mnatufanya wanaume wenzenu tuwe wachafu,utasikia boxer 20 zote za niniQ
Mwanaume unasuguaaje miguu unataka kuwa shoga
nunua kitambaa ukashoneshe soks kwa fundi cherehan soks za kitambaa.....au za jinsi haziish upes hizo
Wadada wa dar mnawashauri wanaume wa huko dar vibaya halafu wakianza mpaka kujichubua mnaanza tena kuwapondaπππππ
Unataka mwenzio aanze kuzalisha umeme visigino vinapogusa mashuka?
Utachagua wewe uwe nazo au usiwe ina maana unataka uwe unmubadiliukiwa umetoka wap???Expert nyie ndio huwa mnatufanya wanaume wezenu tuwe wachafu,utasikia boxer 20 zote za nini
Nunua gari na quality socks hizo sio wuality ni plasticView attachment 3198594
Hivi kwanini kila soksi ninazonunua zinaisha hivi hata miezi 3 haifiki? π‘π‘π‘ Ni mimi tu au nitafute soksi za chuma??? Kwa sababu nimechoka!
Hahaha!Wadada wa dar mnawashauri wanaume wa huko dar vibaya halafu wakianza mpaka kujichubua mnaanza tena kuwapondaπππ
Expert soksi zina viwango pia, achukue best quality hata pea moja atadumu nayo mpaka ashangae,hata ukiwa na kucha ndefu ngoma haichanikiHahaha!
Mkuu, unyayo unahitaji maji, sabuni na dodoki/file wala sio cream.
Sema hapo suluhisho anunue socks angalau hata pair 5 ili awe anazipumzisha zisichakae haraka.
Kuna kipindi nilikua sivai soksi kama fashion, ndani ya viatu vya ngozi ndani ya miezi sita tu miguu ikawa kama ya punda wa singida πππHahaha!
Mkuu, unyayo unahitaji maji, sabuni na dodoki/file wala sio cream.
Sema hapo suluhisho anunue socks angalau hata pair 5 ili awe anazipumzisha zisichakae haraka.
Ikawaje?Kuna kipindi nilikua sivai soksi kama fashion, ndani ya viatu vya ngozi ndani ya miezi sita tu miguu ikawa kama ya punda wa singida πππ
Yes natembea sana km mazoezi kwa siku kama steps elf 20 na nipo kw baridi la negative ukuπ‘π‘π‘Una tabia ya 'kauka nikuvae', ukinunua vazi flani, ni hilo hilo tu mpaka liishe.
Hapo hata ungelivaa soxy za chuma, lazima ziishe tena kwa mwendo wa upepo kutokana na friction kubwa inayotengenezwa kwenye nyayo wakati wa kutembea.
Emb nunua pair 10 za kuanzia maisha uone kama kuna soxy nyepesi kutoboka.
Mimi nina soxy nilinunua 2011 mpaka leo zinadunda na hazijatoboka.
Ila ni dalili za mtu anaetafuta hazina ili aje kuwa na dalili za utajiri πππ tusikatishane tamaa tajiri.Hizo si dalili za utajiri ππ
Expert soksi zina viwango pia, achukue best quality hata pea moja atadumu nayo mpaka ashangae,hata ukiwa na kucha ndefu ngoma haichaniki
Nunua nyingi uwe una chenji chenji haziwezi toboka zikiwa nyingi.Yes natembea sana km mazoezi kwa siku kama steps elf 20 na nipo kw baridi la negative ukuπ‘π‘π‘
Ikabidi nijifunze kuvaa soksi ila nilipata shida kama mtu anaanza tumia ndom kwa mara ya kwanza ,kuzizoea lakinπ€Ikawaje?
Huwa unasugua miguu? πIkabidi nijifunze kuvaa soksi ila nilipata shida kama mtu anaanza tumia ndom kwa mara ya kwanza ,kuzizoea lakinπ€