Hivi kwanini kuna watu wakisikia jina la January Makamba wanapatwa na hofu?

ku
kudhani kwamba hii message inamhusu makamba ndo unapokosea..ushasikia kitu kinaitwa syndicate?
 
ku

kudhani kwamba hii message inamhusu makamba ndo unapokosea..ushasikia kitu kinaitwa syndicate?
Ndio nikifahamu even kwenye military trainings kuna kitu kinaitwa "syndicate" nimekuelewa unamaanisha nini likini still staki kuamini kwamba kwenye msafara wao wa mamba hakuna kenge, kama kuna harufu ya manipulation tutajua tu kuna information zita leak
 
Hakuna kitu pale ni kubebea bebwa tu, hata ushindani jimboni hawezi, sisi tuloenda shule sawa sawa tunamwona ni mediocre
 
Sitaki maneno tupe ushahidi wa upigaji wake! Vinginevyo wewe ni vuvuzela tu
Unataka ushahidi gani toka kwa huyo tapeli ambaye hata dada yake aliweka rehani utu wake kwa ajili yake?! anajua kucheza na maneno kuwadanganya wajinga kama wewe, hebu muulize huyo bosi wako ile winchi ya tani 26 inakuja lini?
 
Unataka ushahidi gani toka kwa huyo tapeli ambaye hata dada yake aliweka rehani utu wake kwa ajili yake?! anajua kucheza na maneno kuwadanganya wajinga kama wewe, hebu muulize huyo bosi wako ile winchi ya tani 26 inakuja lini?
Usitukane wenzako wajinga kwa sababu ana mawazo tofauti na wewe. Makamba is an individual hawezi kuwa mkubwa zaidi ya Tanzania, hata akiteuliwa ndugu yako anaweza kufeli. Hakuna kiongozi mzuri kwenye mifumo mibaya hata awe na nani hatoboi. Fitina hazitatusaidia kumbuka makamba ni muajiriwa anaweza kufutwa kazi na boss wake ambae ni Rais na kama kijana ana makandokando leteni data kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika utasaidia mamlaka za uteuzi kufanya maamuzi sahihi. Kwa sabaya watu walitema Nyongo na vielelezo waliweka leo si yuko sero
 
Achana nae imeshazoeleka watu kupakana matope bila sababu wala ushaidi wowote. Jaribu kusoma comment nyingi utagundua kuna watu kama wameshachanganyikiwa

Yeye ndiyo hajielewi. fuatilia haya yafuatayo:
1. Hakuna kreni ya kubeba tani 26.
2. Walitishwa kufanya matengenezo ya mitambo kwa miaka mitano.
3. Mabwawa yamekauka kwa sababu ya ukame.
Wewe huoni jinsi anavyojichanganya mwenyewe!!?

CC: denooJ
 
Yeye ndiyo hajielewi. fuatilia haya yafuatayo:
1. Hakuna kreni ya kubeba tani 26.
2. Walitishwa kufanya matengenezo ya mitambo kwa miaka mitano.
3. Mabwawa yamekauka kwa sababu ya ukame.
Wewe huoni jinsi anavyojichanganya mwenyewe!!?

CC: denooJ
Viongozi wetu kuna wakati wanajisahau na kuropoka vitu ambavyo havipo, tatizo la kujimwambafai linawakosesha detailed information ili kuuambia umma vitu vinavyoeleweka mwisho wanabaki kuwa suspicious kuwa wanainajisi wizara. Tumpe mda kijana atuoneshe ukomavu wake
 

Wewe uko na maoni yaliyo katika mizani sawia. Ni mtazamo mzuri. Lkn huyu mtu aache mtazamo ya kuwania urais, badala ya kuchapa kazi yeye anawaza urais, hataweza, maana wahenga walisema mshika mawili.... Lkn pia kumponda mwendazake JPM si jambo zuri, yeye hayupo, uzuri wake, ubaya wake, udhaifu wake, uhodari wake, upendo wake na chuki yake vyote vilishakoma. Kwa hiyo kumnanga ni jambo ambalo halina tija, maana hakuna anayeweza kujibu hayo anayoyasema.
 
Sauti ya January Makamba ulisiikia au unachanganya madesa na baba yake Mzee Yusuf Makamba?
 
Umeongea ukweli mtupu maana yeye mwenyewe makamba na mwigulu hawaaminiki kwa sababu ya jinamizi linalowatesa la kuutaka urais. Sijui kwanini mamlaka za uteuzi (vetting group ) zinawapenda, wengi tulishangaa alivyomsagia kunguni jpm hii ni tabia ya kujikwenza coz yeye mtumishi wa umma Sasa anamkomoa nani. Ni kama alikuwa anatutukana sisi grass roots kwamba tutakoma. Nchi yetu Kuna family dynasty wanapeona uongozi kwa kauli ile ningekuwa Rais ningemfuka kazi siku hiyohiyo
 
Sauti ya January Makamba ulisiikia au unachanganya madesa na baba yake Mzee Yusuf Makamba?
Hapana kaka sijachanganya madesa kwenye ile voice note anasikika baba yake January anampigia simu , mzee makamba akaamuliza mwanae kuwa nape yupo. Kaka niko very keen kabla ya kuandika kitu, pia misigano yake na doctor kingwangala na tabia yake opportunism akampaka matope. In short January ana kibarua Kizito cha kujivua gamba
 
Nikishakupa utafanya nini?

Huyo mwizi wa mitihani atatetewa na wewe tu, hawezi kuwa mwizi wa makaratasi ya mitihani akaacha kuwa mwizi wa rasilimali za taifa, never.
Na kwa porojo hizi tu mtaendelea kuteswa sana na huyu kijana. Kusema flan ni mwiz nje ya uthibitisho ni ujinga tu. Msijikute mnapambana na kivuli cha mpakwa mafuta mbelen akawa top manyota a.k.a perezdaa🤣🤣🤣
 
Sina shida na huyu mheshimiwa lakini tangu aingie, shida za UMEME na MAJI zimerudi kwa kasi.

Mwambie ashughulikie hili eneo haraka , linatukera wote.
Halafu naona wanafocus Dar peke yake wakati ni shida ya Taifa zima.

UMEME UMEME UMEME
MAJI MAJI MAJI.

Vinginevyo sina shida nae, hata
25- 30 aendelee.
[emoji120]
 
Waziri alianaza kwa uongo na uongo wake huo utamgharimu.

Hivi tatizo la mgao wa umeme ni kwa sababu ya scheduled repairs au ukame ?
 
Hakuna anayemchukia mtu Makamba labda mwenye chuki ni wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…