Hahahahaha..kwahiyo ijumaa ijayo niandae nauli [ delivery] na hela ya kununulia birianiSi nimesikia mnasema ijumaa ndio linakuwa tamu
Hahahahaha bundle sio kesi ...labda location isitumweAcha visa basi kaka mzuri,we andaa bundle tu nikutumie location
sio tu biriani yaan mimi kuanzia hyo birian na vyakula vyote vyenye viungo viingi sivipendiJamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
Yenyewe haipiki, ipo ready muda wote πNdio hiyo naiyoingolea Mimi,Sasa sijui kama kuna nyingine π
Sio mbaya β ila kipindi hiki ambacho hujafunguwa mgahawa unaweza ukanikalibisha chochote kitu nikajongea πππππSasa itabidi nifungue mgahawa mje m show love
Hahahahaha...hapo ktk kutekwa hapo ,mtekaji atakua katisha sanaWeee labda nitekwe!π
Eti kisinia...Kuna siku nikajichanganya na vijana wenzangu tukachanga kama 80k hivi tukaenda kununua kisinia.Ni upuuzi tu wa wabongo kupenda kwenda na upepo, kitu cha kijiiinga ila kinaweza vumishwa utasema ni nini sijui.
Birian nilipokua nasikia sikia nikajua ni kitju flan amazing sana. Halaf stupid enough, ikawa utamaduni kwamba mahala pengi maarufu birian inapikwa IJUMAA tu!. Siku nikasema acha nikatoe ushamba, aaaahhh nikakuta ujinga uuinga kabisaa.
Ni tamu birian ila sio kwa sifa na umashuhuri inayopewa.
Same same applies ni kitu flan kilivuma sana hapo nyuma , MAKANGE.
Makangeee makange, siku niko around maeneo ya Masaki , nikasema acha nisogee Jackis pale , nikaagiza makange ya kuku, doooohhhh!! I was very suprised, ni kuku tu wa kawaida sema minyanyaa na miviungoo ndio imesheheni. Ujinga kabisaa.
Ikaja ujinga mwingine maarufu wa vyakula kwa jina la KISINIA.
Yan wabongo wanapenda sana ku "trend-sha" vitu sana
saaanaUnapenda michemsho?
ππHa haaaaa haaaa Dah!umetisha
Nifanyie mpango sasa πKijana acha uhuniπ
Hiyooo glass hapo kando kabla ya chochote, naomba uongeze ziwe 4. Sio juice ya parachichi hiyo? ππππ