Hivi kwanini mnapenda Biriani? Sijawahi kupenda Biriani

Eti kisinia...Kuna siku nikajichanganya na vijana wenzangu tukachanga kama 80k hivi tukaenda kununua kisinia.

Yaani ni ovyo sana hakuna maajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…