Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo atanipeleka mywangu kuitest Tresor MandalaNi balaaa 😋
Ile biriani nimeshakula sana pale 😁
Na kuna sehemu nyingine Maisala karibu na CCM Bar pale hata jumapili ilikuwa inapikwa. Hata Dar Biriani OG lipo Chef Pride
Mandhi pleaseeeee....Mie nyumbani ndio mpishi yani mkewangu hapikagi hupika mara mbili tu kwa wiki.
Pishi gani la mchele unataka kulijua!?
-Wali wa dikodiko.
-Biryani.
-Mandhi.
-Bokoboko.
Pilau na wali wa kawaida najua ni jepesi.
😁😁😁🤣🤣🤣Kwa hiyo mi nimekula la vichochoroni?Umeanza lini dharau we mtoto?
Kweli kabisaa,makange nayo mmmmh yalitutesa kabla hatujayajua😁Ni upuuzi tu wa wabongo kupenda kwenda na upepo, kitu cha kijiiinga ila kinaweza vumishwa utasema ni nini sijui.
Birian nilipokua nasikia sikia nikajua ni kitju flan amazing sana. Halaf stupid enough, ikawa utamaduni kwamba mahala pengi maarufu birian inapikwa IJUMAA tu!. Siku nikasema acha nikatoe ushamba, aaaahhh nikakuta ujinga uuinga kabisaa.
Ni tamu birian ila sio kwa sifa na umashuhuri inayopewa.
Same same applies ni kitu flan kilivuma sana hapo nyuma , MAKANGE.
Makangeee makange, siku niko around maeneo ya Masaki , nikasema acha nisogee Jackis pale , nikaagiza makange ya kuku, doooohhhh!! I was very suprised, ni kuku tu wa kawaida sema minyanyaa na miviungoo ndio imesheheni. Ujinga kabisaa.
Ikaja ujinga mwingine maarufu wa vyakula kwa jina la KISINIA.
Yan wabongo wanapenda sana ku "trend-sha" vitu sana
Jana ilivyokuaHiyo atanipeleka mywangu kuitest Tresor Mandala
Hahahahaha..makange dah...yalikimbiza sanaKweli kabisaa,makange nayo mmmmh yalitutesa kabla hatujayajua😁
Hahahahaha...sawa sawa😍😍😍😍Sasa itabidi nifungue mgahawa mje m show love
Hii bahati atayeipata aitumie vzrUkipata wasaa ukala chakula nilichopika,nitadesign namna unakula carrots bila kujua na unaenjoy roast.
HahahahahaYaani Nina uhakika taji nalichukua bila kupepesa macho!tupange siku😄😄