Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Asante japo najifunza funzaMashavu unajua kupika wewe....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante japo najifunza funzaMashavu unajua kupika wewe....
😋😋 unapatikana wapi mahi nije kudowea!
Mchele wa basmat ni kisanga mkuu, ile pure plasticInaelekea unapenda sana viporo 🤣
Biriani mimi ule mchele wa basmati siupendi upo km wa plastic, mambo ya waarabu na wahindi mimi nehi nehi sijawahi kuuelewa.
Nishazoea mchele wa Sumbawanga grade one. Kitu kinachambuka kwenye sufuria
Ni balaaa 😋Ushakula Biriani ya "Passing Show"?
Guess huyu Sportladdy ni dume hili 😂😂😂Huyo wifiake Udugu wangu,muache!
Umekula biriani mbovu hiyo, 😂😂😂Nimekula Leo hapa mpk sasa ni tumbo tu kuuma balaa .....
Dar nawaachia biriyani lenu....
Naam.Ni balaaa 😋
Ile biriani nimeshakula sana pale 😁
Na kuna sehemu nyingine Maisala karibu na CCM Bar pale hata jumapili ilikuwa inapikwa. Hata Dar Biriani OG lipo Chef Pride
Huwa wanakula biriani za vichochoroni hao 😀😀😀Naam.
Sasa watu wanajiungiaungia vitu tu, na wao wanaita Biriani.
Wakiharibu wao wanasema Biriani mbaya.
Am back again nowMi Sijambo,nimekukosa sana
Huo sirudii tenaPika mchele wa Mbeya huo mbona mtamu tu
Ninayoijua Mimi ni Ile ambayo inaliwa kila ijumaa baada ya kula.Kwani zipo za aina ngapi?
Biriyani ni chakula kilichokuwa overrated ssna
Hapa kali ni lile rojo lake tu ndio linanikosha nikilipatia
Ila ule wali wake hadi kuongeza manjonjo kiasi,vinginevyo ni ubwabwa usionukia[emoji23]
Uzi tayariJamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
Yani ukipika bila viungo vingine huo wali ndio balaa angalau uongeze viungo lkn m naona Bado haujafikia mchele wa kawaidaTatizo ni aina ya mchele unaotumika hauna ladha kabisa unavutia machoni tu ila sio mdomoni ☹️☹️