Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Niko poa kabisa hofu kwakoLong time aisee haujambo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko poa kabisa hofu kwakoLong time aisee haujambo?
Fresh, muda kidogo sijakuona humu ndani all in all nimefurahi kukuona jukwaaniNiko poa kabisa hofu kwako
Pamoja mkuuFresh, muda kidogo sijakuona humu ndani all in all nimefurahi kukuona jukwaani
Shukrani sanaaPamoja mkuu
Wana hasira sana[emoji2][emoji2]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unanitania bhana we waonekana muOman kabisa ushindwe kuvipika!?
Hamna mkuu hakuna kitu napenda kama kupika maana napenda kula sana.Mkuu,
Nyie mna muda Sanaa mpaka wa kupika pika😊😊
Hapo sawa!!Biryani ni viungo sio mchele.
Biryani waweza pikia mchele wowote.
Ila sisi waswahili twadhani biryani lazima upikie mchele wa basmat noop.
Mchele hata wa Mbeya unapikia biryani.
Basmat mchele wa Far East ndio mchele walio nao.
Vizur Sanaa 😊 mkuu yaan mkeo atakua anafaidi sanaaHamna mkuu hakuna kitu napenda kama kupika maana napenda kula sana.
Yani nahakikisha kuanzia saa 11 jioni nawahi home kutengeneza twaamu/msosi japo mke ninae.
Na mbaya zaidi mke amezoea kula mkono wa mumewe🤣🤣.
Ni samaki anaitwa jodariHebu kwanza,hii nyama umeunga Nazi?
Mimi niko poa vip wewe mkuuMwachi hujambo?
Mashavu unajua kupika wewe....
Yaan pwan kabisaOkay,sawa kabisa....mambo ya pwani hayo...kinavutia sana
😂😂😂Itakuwa BrianaBrian chakula au mnamaanisha mengine, tusije changia tusivyojua