Hivi kwanini mnapenda Biriani? Sijawahi kupenda Biriani

Hivi kwanini mnapenda Biriani? Sijawahi kupenda Biriani

Ni upuuzi tu wa wabongo kupenda kwenda na upepo, kitu cha kijiiinga ila kinaweza vumishwa utasema ni nini sijui.

Birian nilipokua nasikia sikia nikajua ni kitju flan amazing sana. Halaf stupid enough, ikawa utamaduni kwamba mahala pengi maarufu birian inapikwa IJUMAA tu!. Siku nikasema acha nikatoe ushamba, aaaahhh nikakuta ujinga uuinga kabisaa.

Ni tamu birian ila sio kwa sifa na umashuhuri inayopewa.

Same same applies ni kitu flan kilivuma sana hapo nyuma , MAKANGE.
Makangeee makange, siku niko around maeneo ya Masaki , nikasema acha nisogee Jackis pale , nikaagiza makange ya kuku, doooohhhh!! I was very suprised, ni kuku tu wa kawaida sema minyanyaa na miviungoo ndio imesheheni. Ujinga kabisaa.

Ikaja ujinga mwingine maarufu wa vyakula kwa jina la KISINIA.

Yan wabongo wanapenda sana ku "trend-sha" vitu sana
 
Ni upuuzi tu wa wabongo kupenda kwenda na upepo, kitu cha kijiiinga ila kinaweza vumishwa utasema ni nini sijui.

Birian nilipokua nasikia sikia nikajua ni kitju flan amazing sana. Halaf stupid enough, ikawa utamaduni kwamba mahala pengi maarufu birian inapikwa IJUMAA tu!. Siku nikasema acha nikatoe ushamba, aaaahhh nikakuta ujinga uuinga kabisaa.

Ni tamu birian ila sio kwa sifa na umashuhuri inayopewa.

Same same applies ni kitu flan kilivuma sana hapo nyuma , MAKANGE.
Makangeee makange, siku niko around maeneo ya Masaki , nikasema acha nisogee Jackis pale , nikaagiza makange ya kuku, doooohhhh!! I was very suprised, ni kuku tu wa kawaida sema minyanyaa na miviungoo ndio imesheheni. Ujinga kabisaa.

Ikaja ujinga mwingine maarufu wa vyakula kwa jina la KISINIA.

Yan wabongo wanapenda sana ku "trend-sha" vitu sana
Mkuu uko poa? 😂😂😂
 
Kiuhalisia mchele wa birian hauna ladha km mchele wa kawaida nishapika mara kadhaa sikukuelewa had nilipojaribu kuchanganya mchele wa basmati na WA kawaida kidogo ndo Lilikuwa tamu
Biryani ni viungo sio mchele.
Biryani waweza pikia mchele wowote.
Ila sisi waswahili twadhani biryani lazima upikie mchele wa basmat noop.
Mchele hata wa Mbeya unapikia biryani.
Basmat mchele wa Far East ndio mchele walio nao.
 
Aloo wee acha kabisa ndgu yangu.

Kile kitu kiweke kando then tudiscus kuhusu biriani.
Inaelekea unapenda sana viporo 🤣
Biriani mimi ule mchele wa basmati siupendi upo km wa plastic, mambo ya waarabu na wahindi mimi nehi nehi sijawahi kuuelewa.
Nishazoea mchele wa Sumbawanga grade one. Kitu kinachambuka kwenye sufuria
 
Biryani ni viungo sio mchele.
Biryani waweza pikia mchele wowote.
Ila sisi waswahili twadhani biryani lazima upikie mchele wa basmat noop.
Mchele hata wa Mbeya unapikia biryani.
Basmat mchele wa Far East ndio mchele walio nao.
Ni kweli ila upate mchele mzuri ulioonyooka unaochambuka vizuri linakuwa tamu mm Huwa napenda unavokuwa mrefu 😃
Ila kula hauna ladha ndio maana namix na wa kawaida
 
Biryani ni viungo sio mchele.
Biryani waweza pikia mchele wowote.
Ila sisi waswahili twadhani biryani lazima upikie mchele wa basmat noop.
Mchele hata wa Mbeya unapikia biryani.
Basmat mchele wa Far East ndio mchele walio nao.
Ww jamaa inaonekana mpishi mzuri, hebu nifundishe kupika kabla sijapata mume nisije kuchekesha ukweni 😂
 
Back
Top Bottom