Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mwenye picha atuwekee maana wengine hatujawai kulionaa😇😇Jamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye picha atuwekee maana wengine hatujawai kulionaa😇😇Jamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
Aloo wee acha kabisa ndgu yangu.Na kachai ka tangawizi au ya maziwa pembeni 😂
Sijui kwanini imejengeka utamaduni huo 😂Kwa Nini ijumaa?ni kama pilau Jumapili weeee acha kabisa
Mkuu uko poa? 😂😂😂Ni upuuzi tu wa wabongo kupenda kwenda na upepo, kitu cha kijiiinga ila kinaweza vumishwa utasema ni nini sijui.
Birian nilipokua nasikia sikia nikajua ni kitju flan amazing sana. Halaf stupid enough, ikawa utamaduni kwamba mahala pengi maarufu birian inapikwa IJUMAA tu!. Siku nikasema acha nikatoe ushamba, aaaahhh nikakuta ujinga uuinga kabisaa.
Ni tamu birian ila sio kwa sifa na umashuhuri inayopewa.
Same same applies ni kitu flan kilivuma sana hapo nyuma , MAKANGE.
Makangeee makange, siku niko around maeneo ya Masaki , nikasema acha nisogee Jackis pale , nikaagiza makange ya kuku, doooohhhh!! I was very suprised, ni kuku tu wa kawaida sema minyanyaa na miviungoo ndio imesheheni. Ujinga kabisaa.
Ikaja ujinga mwingine maarufu wa vyakula kwa jina la KISINIA.
Yan wabongo wanapenda sana ku "trend-sha" vitu sana
Niko poa chief..😂Mkuu uko poa? 😂😂😂
👍Niko poa chief..😂
Biryani ni viungo sio mchele.Kiuhalisia mchele wa birian hauna ladha km mchele wa kawaida nishapika mara kadhaa sikukuelewa had nilipojaribu kuchanganya mchele wa basmati na WA kawaida kidogo ndo Lilikuwa tamu
Sasa dadaa kama biryani wasema hulielewi je mandhi utaielewa!?Jamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
Inaelekea unapenda sana viporo 🤣Aloo wee acha kabisa ndgu yangu.
Kile kitu kiweke kando then tudiscus kuhusu biriani.
NakuaminiaUkipata wasaa ukala chakula nilichopika,nitadesign namna unakula carrots bila kujua na unaenjoy roast.
Pamoja kamanda👍
Injoy wikiendi yako. 😎
Kwahiyo ulivyopika visamaki vyako mkaficha kwenye box la mbao hapo paka waslle au? Wachoyo nyie!!Leo nimeenda kumtembelea dadaangu nimeingia jikoni kupika
😃Kanambia niwe nikitoka kazini naenda kushindwa kwake nauli juu yake kilasiku
😂😂
Joannah
Saint Anne Leo samaki wabichi wa Nazi
Na wali View attachment 2987036View attachment 2987036View attachment 2987036View attachment 2987036
Kwa sababu ni tamuJamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
Ni kweli ila upate mchele mzuri ulioonyooka unaochambuka vizuri linakuwa tamu mm Huwa napenda unavokuwa mrefu 😃Biryani ni viungo sio mchele.
Biryani waweza pikia mchele wowote.
Ila sisi waswahili twadhani biryani lazima upikie mchele wa basmat noop.
Mchele hata wa Mbeya unapikia biryani.
Basmat mchele wa Far East ndio mchele walio nao.
Ww jamaa inaonekana mpishi mzuri, hebu nifundishe kupika kabla sijapata mume nisije kuchekesha ukweni 😂Biryani ni viungo sio mchele.
Biryani waweza pikia mchele wowote.
Ila sisi waswahili twadhani biryani lazima upikie mchele wa basmat noop.
Mchele hata wa Mbeya unapikia biryani.
Basmat mchele wa Far East ndio mchele walio nao.
Pika mchele wa Mbeya huo mbona mtamu tuSina basmati🤣🤣🤣
Hadi niende mjini
Mdomo wako mpk umefanya mpishi katoa picha zake, na mimi nilikuwa nachukua recipe 😂Kwahiyo ulivyopika visamaki vyako mkaficha kwenye box la mbao hapo paka waslle au? Wachoyo nyie!!
Naomba nifundishe mahiPika mchele wa Mbeya huo mbona mtamu tu