Hivi kwanini mnapenda Biriani? Sijawahi kupenda Biriani

Hivi kwanini mnapenda Biriani? Sijawahi kupenda Biriani

Kiuhalisia mchele wa birian hauna ladha km mchele wa kawaida nishapika mara kadhaa sikukuelewa had nilipojaribu kuchanganya mchele wa basmati na WA kawaida kidogo ndo Lilikuwa tamu
ukiupikia mchele halisi inakuwatamu zaidi sema kuna ushamba unatusumbua tu.
 
Yaani over over rated cuzo!ushawahi kula lakni?
Ndiyo Cuzoo...
Niwahi kula wakati fulani kibaruani...

Tena nilinunuliwa zile za delivery..Mtu aliniambia ngoja leo uonje ladha ya Biriani uone ilivyo.....Huwezi kuamini nilikula Kuku tu...Sijawahi kurudia tena🤣

Hata niwe na njaa vipi Cuzoo Biriani ahinitamanishi kabisa.
 
Ndiyo Cuzoo...
Niwahi kula wakati fulani kibaruani...

Tena nilinunuliwa zile za delivery..Mtu aliniambia ngoja leo uonje ladha ya Biriani uone ilivyo.....Huwezi kuamini nilikula Kuku tu...Sijawahi kurudia tena🤣

Hata niwe na njaa vipi Cuzoo Biriani ahinitamanishi kabisa.
🤣🤣Basmat bwana inazingua sana....
 
Back
Top Bottom