Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Acha siasa shusha demand msosi ulikeNishawishi😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha siasa shusha demand msosi ulikeNishawishi😁
kwa sababu kimeunganishwa na tabia mbaya!Jamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
ukiupikia mchele halisi inakuwatamu zaidi sema kuna ushamba unatusumbua tu.Kiuhalisia mchele wa birian hauna ladha km mchele wa kawaida nishapika mara kadhaa sikukuelewa had nilipojaribu kuchanganya mchele wa basmati na WA kawaida kidogo ndo Lilikuwa tamu
Dah unataka nikosane na dada To yeye 😃😃 wapo japo si wengi na haiwii tamu Kama za DasalamMbeya Kuna wapishi wa biriani ukiachana na mke wa Sugu? Asante sana
Ndiyo Cuzoo...Yaani over over rated cuzo!ushawahi kula lakni?
🤣🤣Basmat bwana inazingua sana....Ndiyo Cuzoo...
Niwahi kula wakati fulani kibaruani...
Tena nilinunuliwa zile za delivery..Mtu aliniambia ngoja leo uonje ladha ya Biriani uone ilivyo.....Huwezi kuamini nilikula Kuku tu...Sijawahi kurudia tena🤣
Hata niwe na njaa vipi Cuzoo Biriani ahinitamanishi kabisa.
Sina basmati🤣🤣🤣
Biriyani gani unayoizungumzia hapa?! 😉Jamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
Kijana wangu mzima?Biriyani gani unayoizungumzia hapa?! 😉
Tatizo mshazoea viporo vya wali ndondo 😂Ni kuiga tu tamaduni za watu kama kawaida yetu ila ile kitu ni hamna aisee.
Ule wali sio mtamu, ila lile sotojo ni noma.Tatizo mshazoea viporo vya wali ndondo 😂
Na kachai ka tangawizi au ya maziwa pembeni 😂Ule wali sio mtamu, ila lile sotojo ni noma.
Kiporo cha wali ndondo achana nacho kabisa ni hakina mfano mkuu.
I wish siku moja ndoto yangu itimie nipate chakula kilichopikwa na wewe..Ukipata wasaa ukala chakula nilichopika,nitadesign namna unakula carrots bila kujua na unaenjoy roast.