Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Kumbe biriani ni chakula?😢Kijana tunaongelea biriani chakula sio Mtu🙆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe biriani ni chakula?😢Kijana tunaongelea biriani chakula sio Mtu🙆
Hahahahaha..hii nchi ina watu akili zao wanajua wenyewe😢Kijana tunaongelea biriani chakula sio Mtu🙆
Hahahahaha we ulijuq nnKumbe biriani ni chakula?
Hiyo menu huwa inakuwa tamu sana siku ya ijumaa 😋😋😋Jamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
Mi nilijua Biriani ni jina la Baba yake MariamHahahahaha we ulijuq nn
Hahahahaha..umetisha sanaMi nilijua Biriani ni jina la Baba yake Mariam
Leo ijumaa uko wapi nikupitie twende kwa shishi food tukajilambeUkipata wasaa ukala chakula nilichopika,nitadesign namna unakula carrots bila kujua na unaenjoy roast.
Kuna wakorinto tu naona😂Si atokee muhebrania mmoja anipe ofa ya biriani 😋
Wahaya zenu ndizi jamaniii tena zile laini na maharageJamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
Kijana wa ovyoMi sijawahi kula biriani ila nampenda Mariam Biriani
😂 nishtulie hata hao waninulie biriani la low budget bacKuna wakorinto tu naona😂
Hii offer napatajeukala chakula nilichopika,