Hivi kwanini mnapenda Biriani? Sijawahi kupenda Biriani

Hivi kwanini mnapenda Biriani? Sijawahi kupenda Biriani

Hebu ona huu ubwabwa hizo rangi za simba
Uniform za st Francis hizi
Daah is a byutiful colour on earth... 🤣 🤣 🤣 🤍🤍❤️‍❤️‍❤️❤️‍❤️‍❤️‍❤️‍❤️‍🤍🤍
IMG-20240112-WA0055(1).jpg
 
Mi sijawahi kula biriani ila nampenda Mariam Biriani
 
Napajua vizuri kabisa,kitambo....Ule mtaa una misosi sana hata pale mbele kama unaelekea ushirika mida ya jioni Kuna Sekela na Chicken lemon balaa,,
Hahahahaha pale kwenye sekela karibu na Binslum ? We uko vzr ..hiyo ni mitaa yangu kila ijumaa kama leo kama nikiwa vzr
 
Back
Top Bottom