Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Humu kuna somo la mapishi ..kaa ujifunze kupika biriani..๐๐Kwema humu ndani ๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu kuna somo la mapishi ..kaa ujifunze kupika biriani..๐๐Kwema humu ndani ๐๐๐
Leo tunapata somo la mchele๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Safi sana ngoja nipate elimu hapaHumu kuna somo la mapishi ..kaa ujifunze kupika biriani..๐๐
Hongera sana umepika chakula kitamu sana kuliko yule Binti mjuaji
Jaribu dearOokayyy,,nitajaribu hii method
๐Ulikuwa na ladha nzuri piaUnavutia.
Asante ๐Hongera sana umepika chakula kitamu sana kuliko yule Binti mjuaji
Usisahau kutupa mrejesho๐๐ Weekend nitaipika Inshallah tukijaliwa uzima
Mie nasubiri picha ya biriani hapa selfika๐๐ Weekend nitaipika Inshallah tukijaliwa uzima
WalaaInaonekana wewe ni mpishi mzuri sana
Pambee๐๐
Safi sanaWalaa
Sijui chochote
Najivunza mdogo mdogo
Pambee๐๐
Haukuwa Boko ila haukuwa mtaniMchele wa basmati kuwa Boko sio rahis unachofanya basmati unaloweka Ile ya kawaida niliosha nikakaa kma dakika 5 nikaweka na haukuwa Boko sema Mimi Huwa napalia nisipopika wali kwenye mkaa sielewag ๐
Mara moja moja nikipata mtu anataka nimpikie nauzaOok kumbe wewe la kuuza!nilijua la nyumbani..hapo sawa