Hivi kwanini mwanamke akifiwa na mume wake anaanza kupendeza na kunawiri?

Hivi kwanini mwanamke akifiwa na mume wake anaanza kupendeza na kunawiri?

Michepuko si inapata chance ya kuhudumia kisawasawa. Lakini,uliwahi jiuliza kwa nini mwanamke akifiwa pamoja na kupendeza na kunawili,watoto wa marehemu wanakonda,wengine kupelekwa kwa mabibi zao kulelewa huko?.

Chonde chonde, uzinzi noma
 
Inaonekana wabongo bado hamjaelewa kitu fulani kuhusu kunenepa!

Maana kwa wazungu wakiona hivyo huwa wanampa pole wakisema "Sorry for your loss dear, it must have been so hard on you. I see you even gained weight. But do not worry it can not get any worse dear one"

Umeona? Wao kuongezeka uzito ni dalili ya stress. Kaibundie hiyo hadi uielewe sasa
Nauliza jamani?
 
Inaonekana wabongo bado hamjaelewa kitu fulani kuhusu kunenepa!

Maana kwa wazungu wakiona hivyo huwa wanampa pole wakisema "Sorry for your loss dear, it must have been so hard on you. I see you even gained weight. But do not worry it can not get any worse dear one"

Umeona? Wao kuongezeka uzito ni dalili ya stress. Kaibundie hiyo hadi uielewe sasa

Tunataka kutawaliwa hadi mawazo/maoni

Kwanini tumsikilize mzungu?
 
Tunataka kutawaliwa hadi mawazo/maoni

Kwanini tumsikilize mzungu?
Kwa hili isingewezekana kuacha kulinganisha madam Joanah.

Ndilo lengo la post kuonesha utofauti wa mila na desturi na imani kati ya wazungu na wabongo.
Wabongo: Kunenepa ni dalili ya maisha mazuri, no stress, raha hana mawazo☺

Wazungu: Kunenepa ni dalili ya maisha magumu, stress, shida fullu mawazo😢

Ukweli ni upi? Tafiti zinasemaje?

Maana isije kuwa mtu anapotaabika halafu sie tunasoma tafsiri tofauti kabisa. Badala tumpe pole, na kumsaidia... tunampongeza na kumuonea wivu
 
Kwa hili isingewezekana kuacha kulinganisha madam Joanah.

Ndilo lengo la post kuonesha utofauti wa mila na desturi na imani kati ya wazungu na wabongo.
Wabongo: Kunenepa ni dalili ya maisha mazuri, no stress, raha hana mawazo[emoji5]

Wazungu: Kunenepa ni dalili ya maisha magumu, stress, shida fullu mawazo[emoji22]

Ukweli ni upi? Tafiti zinasemaje?

Maana isije kuwa mtu anapotaabika halafu sie tunasoma tafsiri tofauti kabisa. Badala tumpe pole, na kumsaidia... tunampongeza na kumuonea wivu
Kwanini umetafsi kuwa tafsiri ya wazungu ndio sahihi? Vipi kama ya kwetu ndio sahihi kuliko yao? Hivi wewe umewahi kuona mtu mwenye shida ananenepa na mwenye raha anakonda?
 
Kwa hili isingewezekana kuacha kulinganisha madam Joanah.

Ndilo lengo la post kuonesha utofauti wa mila na desturi na imani kati ya wazungu na wabongo.
Wabongo: Kunenepa ni dalili ya maisha mazuri, no stress, raha hana mawazo☺

Wazungu: Kunenepa ni dalili ya maisha magumu, stress, shida fullu mawazo😢

Ukweli ni upi? Tafiti zinasemaje?

Maana isije kuwa mtu anapotaabika halafu sie tunasoma tafsiri tofauti kabisa. Badala tumpe pole, na kumsaidia... tunampongeza na kumuonea wivu
Kwanini umetafsi kuwa tafsiri ya wazungu ndio sahihi? Vipi kama ya kwetu ndio sahihi kuliko yao? Hivi wewe umewahi kuona mtu mwenye shida ananenepa na mwenye raha anakonda?


Na hii ndiyo hoja yangu
Kwanini ameamua maoni ya wazungu yawe sahihi
 
Siyo kuwa wana matatizo

Mfyeko husawazisha hormone za mwanamke hivyo hubaki na umbo la kawaida huku mfyeko ukiunguza mafuta tata ikiwa Sasa huyu mwanamke aliyezoea hivyo aloyekuwa akimfyeko kufariki mafuta na hormone haziwezi sawazishwa tena Kwa wakati hivyo husabanisha nyama uzembe na hormones kuwa juu

Siyo kuwa ndiyo wanakuwa na raha
 
Kwanini umetafsi kuwa tafsiri ya wazungu ndio sahihi? Vipi kama ya kwetu ndio sahihi kuliko yao? Hivi wewe umewahi kuona mtu mwenye shida ananenepa na mwenye raha anakonda?
Ndiyo. Fanya utafiti tu na we.

Mimi niliona makundi mawili yamekinzana.... nikautafuta ukweli, nikapata majibu.

Nnawaita kutafiti
 
Back
Top Bottom