Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Ona, achana na nani kasema. Angalia tu kimesemwa nini na je ni cha kweli. Sitawatetea tu hao wabongo kisa tumeshea damu tu. La.Na hii ndiyo hoja yangu
Kwanini ameamua maoni ya 'wazungu'
Kunenepa, na kunenepeana kunaendeshwa na stress hormone inaitwa cortisol. Ni stress response.
Au basi ni mwitikio wa kujiandaa na stress baadaye. Aidha chaguo, kunenepa kunahusiana zaidi na stress kuliko raha.
Kwa hiyo hata ukimuona mtu amenenepa wakati wa raha zake, tambua kwamba kinachoendesha hayo manenepo ni 'stress za shida ijayo' ni kama mwili unasema "Hapa nimepata raha kidogo tu, nisijisahau. Nnajua shida zipo zinakuja hivi punde. Ngoja nijihifadhie chakula na nishati ya kutosha kwa ajili ya wakati wa dhiki"
Katafiti na wewe utapata majibu yako.