The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Wanaume weupe sana wanaroho mbaya, hakuna wanaume wenye roho nzuri kama weusi.Mianamume mengi meusi yananyanyasa wake zao
Hayawatunzi yana gubu
So yakiondoka wake wanapata ahueni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume weupe sana wanaroho mbaya, hakuna wanaume wenye roho nzuri kama weusi.Mianamume mengi meusi yananyanyasa wake zao
Hayawatunzi yana gubu
So yakiondoka wake wanapata ahueni
Kuna mambo mengi yanayosababisha aliyeachwa au kufiwa kunawiri; mojawapo ni;Nauliza jamani?
Ina maana wake zetu hawana furaha na sisi?...Ila wanatuvumilia tu
aaah kudrraadreekiiii......🤣Kwa hiyo mama Jesca wa 2022 to date hafanani na yule wa enzi za kampeni?
Ahsante sanaDah kamanda mo umerudi? Tulikumiss sana na zile comments zako za aibu naiona mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787], karibu tena