Tumia akili wewe.Ile mwendokasi moja inabeba watu 350!!
Masikhara haya
mkuu iyo ngumu unafikiri kwa kucharge ushuru tu ilo deni la kujenga BRT litalipwaje maana hela zinatakiwa kutoka humo humobWangeruhusu watu wenye uwezo wa kununua haya mabasi wanunue, ila wao wachaj ushuru wa kutumia barabara tu na infrustructurw za dart. Wabinafsishe ukatishaji ticket then wabaki kuangalia uwezekano wa watu kuiba. La sivyo huu mradi utakuwa wa kijinga kama miradi mingine tu
Umeeleza vizuri sana mkuu. Kweli mradi unaendeshwa kwa hasara sana.mkuu nipi nimekaa pale nasubiri akipewa mwingne sizan maana kwa muda huu mapato karibia asilimia 90 yanakwenda serikalini
1. kuna pato linaenda TRA kwa kila tiketi
2. kuna pato linaenda DART tozo ya huduma kwa siku zaidi ya milion 19
3. mapato yanayobaki UDA-RT , kuna yanayolipa deni la mkopo wa kijenga mwendokasi, kuna malipo yanayolipa madeni ya UDA( psssf na mengne) kuna madeni ya NMB
4.kinachobakia baada ya garama za uendeshaji asilimia 85 hazina,15 simon group
yaani ni kama hasara tu mkuu maana madeni plus garama za uendeshaji hakuna kinachobaki ndio maana unaona magari yamechakaa hakuna yanayonunuliwa
Simon under UDA alirudisha hisa 85% kwa Serikali hivyo kufanya Udart kumilikiwa na Hazina kwa 85%Huyu mwendeshaji wa huu mradi aliyepo sasa Simon Group yuko ubia na serikali
Wamefeli ijapokuwa wenyewe wanasema alikuwa katika majaribio ya mradi huo kwa awamu ya kwanza
Ila mwaka jana mwishoni walisema wamepata mwekezaji kutoka UAE ambaye alishinda zabuni ya kuendesha huu mradi na ataleta mabasi 180 ndani ya miezi 6. Ngoja tuone
Katika mradi huu nafikiri serikali wasiingie ubia (joint venture) kama walivyofanya na Simon Group, wamwache mwekezaji auendeshe vile anaweza
Umeeleza vizuri sanamkuu madeni mkuu wangu wale wanadaiwa mafao ya wafanyakazi wa UDA toka zile ecarius bado madeni mengne ya UDA, bado madeni ya nmb, madeni yote ya UDA yalihamia UDA-RT mana kampuni mama ya UDA ni kama imeishakufa, hlf kampuni ya UDA-RT ni PLC maana yake ni ya serikali asilimia 85 halfu asilimia 15 ndio simon group wataacha kweli mradi wampe mtu binafsi kwa asilimia zaidi ya 50 wapigwe. maana pale karibia asilimia 90 ya mapato yanaenda serikalini
1. kuna salio linaenda TRA ukiangalie ile tiket utaona geresho la TRA
2. kuna salio linaenda DART tozo ya huduma maana UDART ni kama wamepangishwa kutumia barabara za BRT
3. mapato yanayobaki ya UDA-RT baada ya garam 85% yanenda hazina
half boss pale kuna aina 3 za mabasi
1.articulated ikizidi sana mwisho watu 250
2.rigid ikizid sana 150
3.feeder 100
note: mapato ya mwendokasi yanagawiwa sehemu nyingi ninkama hakibaki kitu TRA wanachao, DART wanachao tozo ya huduma, madeni ya UDA,nmb na mengne unafikiri kitabaki nn?
note: usilolijua ni kama usiku wa giza
Sikua najua jamani kama inabeba hadi watu 350,Maybe amekadiria kwa kutumia variable kuwa abiria wanapanda na kushuka vituo mbali mbali kwa nauli ile ile mpaka gari inafika mwisho wa route.
Kutoka Kimara mpaka Gerezani kuna vituo 14 kama hesabu zangu ziko sawa iwapo atapakia wastani wa abiria 25 kwa vituo hivyo maana yake atakuwa amebeba abiria 350, though kuna muda average inaweza kushuka au ikapanda kulingana na muda.
Kwa Route ya Kimara- Gerezani na Kimara Kivukoni kuna uwezekano gari moja inabeba abiria zaidi ya 400 per route.
changamoto naona ni viongozi kampuni ya udart ipo chini ya msajili wa hazina(tresury) halfu DART ip chini ya Tamsemi .Umeeleza vizuri sana mkuu. Kweli mradi unaendeshwa kwa hasara sana.
Kuhusu mwekezaji kwa nini hili suala limekuwa na danadana nyingi sana?
Hauendeshwi kwa hasara maana wanapata zaidi ya Milioni 150 kila siku za kazi.Umeeleza vizuri sana mkuu. Kweli mradi unaendeshwa kwa hasara sana.
Kuhusu mwekezaji kwa nini hili suala limekuwa na danadana nyingi sana?
Pole Dar ndiyo jehenamu lenyewe hilo.Sikua najua jamani kama inabeba hadi watu 350,
Ile usafiri hapana, kuna kipindi nilikua na babe anaishi Kimara siku moja nikasema nikamtembelee akanambia nipande mwendokasi upo fasta tu weeh nilijutaaa, mnapangishwa folen, bado tena mnagombaniana kupanda hapo bado halijajaa kama limebeba viazi, yaan watu wanafinyana hadi hewa inaisha [emoji119] bora tulivyoachana [emoji2960]
wiz mwingBasi moja inabeba watu si chini ya 350 during rush hours. Nauli ndogo ni 750. Per trip ni 262,500 hio ya kuishia Kimara tu. Chukulia basi kumi zifanye mzunguko huo mara 6 kuanzia saa 10 jioni hadi saa 3 usiku.
Roughly 262,500x10x6=15,750,000 hio ni Gerezani - Kimara one way hujahesabia kurudi. Ukiweka nenda rudi manaake unazungumzia 25M.
Kivukoni-Kimara nako upate 15,750,000 one way. Ukiweka nenda rudi maanake unazungumzia 30M kwa traffic ya ferry.
Hapo sijagusa ya mbezi mwisho ambayo ni 400x350=140,000
Ukiweka mabasi 10 yaende 6 trip kila moja ni 140,000x10x6 =8,400,000 hio ni one way Kimara-Mbezi tu during rush hours. Ukiweka 2 way maana yake inaweza gonga 12M.
Sijazungumzia less profitable routes kama Moroco, Muhimbili na Mwenge. Tuchukulie zote combined two ways zilete 23M tu during rush hours.
Twende kwenye hesabu ya jumla sasa.
Kwa masaa 5 tu ya jioni kuanzia saa 10.
Kimara-Gerezani: 25M
Kivukoni-Kimara: 30M
Kimara-Mbezi: 12M
Muhimbili-Morroco-Mwenge: 23M
SUB Totals================90M
Routes asubuhi: 70M
Routes jioni: 90M
TOTAL================160M
EXPENSES
FUEL. 20M
MISC. 5M (25)
NET==================135M
Humo una justify vipi kwamba umeshindwa nunua basi? Hio ni hesabu ya siku tu. Fanya kwa mwezi mzima utagundua kuwa hizo basi zinaweza generate 4.05B ukitoa mishahara ya kulipa staff wote, maintanance na vipuri utagundua the company makes around 2.5 Billions each month on average.
Basi moja la kichina sidhani kama linazidi 300M na hununui kila siku. Kwanini wanashindwa kununua gari hawa jamaa? Hivi wabongo ni nini tunaweza kusimamia wenyewe kikaenda bila ngendembwe? Ni aibu tupu!
mkuu unajua deni la kujenga BRT iyo milion 20 kwa siku haiwezi kulipa, BRT ilijengwa kwa mkopo na pesa zinatoka humo humo kwenye uendeshaji .Hauendeshwi kwa hasara maana wanapata zaidi ya Milioni 150 kila siku za kazi.
Mapato hupungua Jumamosi, Jumapili hupungua zaidi.
Faida inayobaki bado ni kubwa ila hawawezi nunua tena magari sababu kuna mwekezaji mwingine anaingia ambaye atakuwa analipa zaidi ya 20mil kwa siku kutumia barabara
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
💯🤝 Conflict of interestchangamoto naona ni viongozi kampuni ya udart ipo chini ya msajili wa hazina(tresury) halfu DART ip chini ya Tamsemi .
DART wakitafuta mwekezaji lazima wahusishe wizara ya fedha namna mwekezaji atakavyolipa, sasa kumbuka sasa ivi wanaokusanya mapato ni hazina, wizara ya fedha ikiona mwekezaji alietafutwa hawezi kuleta pesa za kutosha kulipa mkopo wa BRT pamoja na garama zingine wanapiga chini wanaendelea kukusanya wao yaan ni kama kuna conflict of interest .
ndio maana kila muda utaona matangazo ya zabuni ya mtoa huduma BRT laki mchakato unaishia kwenye bomba
Nimekusomamkuu unajua deni la kujenga BRT iyo milion 20 kwa siku haiwezi kulipa, BRT ilijengwa kwa mkopo na pesa zinatoka humo humo kwenye uendeshaji .
unajua kama UDART inalipa madeni tok miaka iyoo
note : akitafutwa mtoa huduma hata akilipa milion 20 kwa siku kama tozo ya kutumia barabara ni hasara mkuu.
DART wanatakiwa wapate pesa za kujiendesha kutoka humo humo kwenye BRT maana hawapati ruzuku
Deni la mkopo wa kujenga BRT linatakiwa kulipwa kutoka humo humo kwenye mapato ya BRT na ninzaidi ya iyo 20M kwa siku
huyo mwekezaji atalipa bei gani ili siweze kutosha kugaramia vitu hivyo muhimu
💯🤝mkuu unajua deni la kujenga BRT iyo milion 20 kwa siku haiwezi kulipa, BRT ilijengwa kwa mkopo na pesa zinatoka humo humo kwenye uendeshaji .
unajua kama UDART inalipa madeni tok miaka iyoo
note : akitafutwa mtoa huduma hata akilipa milion 20 kwa siku kama tozo ya kutumia barabara ni hasara mkuu.
DART wanatakiwa wapate pesa za kujiendesha kutoka humo humo kwenye BRT maana hawapati ruzuku
Deni la mkopo wa kujenga BRT linatakiwa kulipwa kutoka humo humo kwenye mapato ya BRT na ninzaidi ya iyo 20M kwa siku
huyo mwekezaji atalipa bei gani ili ziweze kutosha kugaramia vitu hivyo muhimu?
Pia kuna hela asilimia flani kila mwezi inatengwa kwa World Bank.. Mradi wote ulikuwa mkopo kutoka kwaomkuu madeni mkuu wangu wale wanadaiwa mafao ya wafanyakazi wa UDA toka zile ecarius bado madeni mengne ya UDA, bado madeni ya nmb, madeni yote ya UDA yalihamia UDA-RT mana kampuni mama ya UDA ni kama imeishakufa, hlf kampuni ya UDA-RT ni PLC maana yake ni ya serikali asilimia 85 halfu asilimia 15 ndio simon group wataacha kweli mradi wampe mtu binafsi kwa asilimia zaidi ya 50 wapigwe. maana pale karibia asilimia 90 ya mapato yanaenda serikalini
1. kuna salio linaenda TRA ukiangalie ile tiket utaona geresho la TRA
2. kuna salio linaenda DART tozo ya huduma maana UDART ni kama wamepangishwa kutumia barabara za BRT
3. mapato yanayobaki ya UDA-RT baada ya garam 85% yanenda hazina
half boss pale kuna aina 3 za mabasi
1.articulated ikizidi sana mwisho watu 250
2.rigid ikizid sana 150
3.feeder 100
note: mapato ya mwendokasi yanagawiwa sehemu nyingi ninkama hakibaki kitu TRA wanachao, DART wanachao tozo ya huduma, madeni ya UDA,nmb na mengne unafikiri kitabaki nn?
note: usilolijua ni kama usiku wa giza
nawe mlaji nnJamaa hasemi ukweli kwenye namba zake.
Hizo trip sita zinatoka wapi. Watu 350.
Tuwe wakweli sio kuleta uzi wa sifa.
ExctlyShalom mkuu, kinachokera ni wizi wa kijinga. Huo mpunga unakuta kuna vigogo wanagawana tu na kuua shirika.