Hivi kwanini Nyerere aliidhinisha kunyongwa Mwamwindi?

2007 Nyerere alikuwa rais?
unakijua unachokiuliza au unataka kumegewa kila kitu
nyuma ya utawala wa Nyerere ulishazaliwa au ulikuwa Msingi?
unamkumbuka yule mhindi aliyekuwa anaweka BIMA za magari na kuwauwa wateja hadi na mkewe
tafuta mwenyewe .............
mm nipo Dodoma lkn tafuta vyanzo mwenyewe
 
Saaana sio waafrica tu hadi huko dunia ya kwanza .. hiii ndio sababu inayonifanya nisipende kuwa kiongozi wa juu
 
Ni kama Leo umuue Bashite,Jiwe anaweza akahukumu mwenyewe kesi yako
 
Kipindi kile kama ni udikteta ulikua ni udikteta kamili. Kiongozi yoyote anayeanza kuhutubia ilikua ni LAZIMA aanze na 'ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WA CHAMA" hahahaaa tumetoka mbale sana kama Taifa aisee
Hii ilikuja kukemewa na sokoine .. Aisee mchonga aliwaburuza Sana watu
 
Saaana sio waafrica tu hadi huko dunia ya kwanza .. hiii ndio sababu inayonifanya nisipende kuwa kiongozi wa juu
Ulikua na fursa hiyo mkuu? I mean ulikua kwenye siasa na nafasi ya kupanda kwenye nyadhifa za juu ulikua nayo? What happened then?
 
Na kuna conspiracy theories nyiingi kuhusu kondoka kwa Sokoine, wengine wanasema haikua accident as such
Yeahhh hizo conspiracy zipo nyingi sana ... na zina elements za ukweli kiasi chake
Wengine wanasema kwamba sokoine mpaka ana fikishwa moro hospital alikuwa mzima ila ila kuna daktari mmoja wapo alikuwa kwenye jopo la wanaompatia huduma alikuwa ni usalama akampigia simu mchonga na kumwambia kuwa jamaa bado hajavuta kamba " mchonga akatoa amri wammalizie kisha yeye akakimbilia haraka sana kutangaza kuhusu msiba wa sokoine ....
 
Dah! Wengine wanasema ilikua ni risasi iliyommaliza palepale kwenye "eneo la tukio", yaani yapo maelezo mengi tofauti tofauti kuhusu hilo jambo
 
Ni hoja nzuri inayohitaji hekima . Ila ningekuwa hakimu ningemuachia huru .
Usingeweza kumuachia huru mkuu, mikono yako ingefungwa na sheria maana Mwamwindi alikiri mwenyewe mahakani kua alimuua RC mwenyewe akimuita mbwa wa serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…