Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Motivesheno spika. Upo vizuri.Kwa mwanaume kijana mwenye vision na focus ya kutajirika maishani, hutakiwi kbs kuwa na girlfriend.
Kama huwezi kuzua lust (nyege), basi kuwa na girl mmoja tu, tena kusex ni mara 1-2 kwa mwaka.
Jifunze sperm retention, epuka unnecessary liabilities. Build your empire!
Nimetonesha mshono wako ?acha kuwaropokea vijana we mwenyewe hua haufanyi hivo,,
jifunze kukaa kimya sio lazima uchangie
Ila wanasema ukiona mwanamke anakuambia Asante jua kua hao sio watoto wako.Pole sana kwa madhila hayo
Ila usiseme wake zetu, maana kwa mfano mimi uwepo wangu tu huwa napewa shukran
Mke anatoa shukran na mimi namshukuru kwa yote anayofanya kama mama wa watoto
Kuwalea na kuwaangalia kutwa sio jambo dogo kiasi mimi niko kwenye mihangaiko
Kwa hiyo ni wajibu wangu pia kumpa kila kitu au kuwapa kila kitu wanachostahili
Ndoa ni Pana sana na inataka uvumilivu sana
WEWE??Hakikisha anafikia hatua hii. Mambo mengine muachie yeye mwenyeweView attachment 2498457
hawa motivesheno spika siku hizi wapo kila mahaliMotivesheno spika. Upo vizuri.
we komaa na nyetto huku ukiwamoniveti vijana porojoNimetonesha mshono wako ?
Daaah nimeona sirjeff kaipost hii au kapata kwako mkuu?Kwa mwanaume kijana mwenye vision na focus ya kutajirika maishani, hutakiwi kbs kuwa na girlfriend.
Kama huwezi kuzua lust (nyege), basi kuwa na girl mmoja tu, tena kusex ni mara 1-2 kwa mwaka.
Jifunze sperm retention, epuka unnecessary liabilities. Build your empire!
Ugome ya nini kaka ,wanzako watakusaidia halafu upate stressSawa hata kama ni majukumu yangu nikiyatimiza sistahili shukrani??
Kama ningegoma je??
Mzee wangu nikimfanyia kitu chochote atanambia AsanteDaah.
Yaani hata ufanye nini huwa wanakuwa kama ni haki yao vile.
Sura kaavu.
Tenda wema uende zakoSawa hata kama ni majukumu yangu nikiyatimiza sistahili shukrani??
Kama ningegoma je??
Mzee wangu nikimfanyia kitu chochote atanambia Asante
Ila sasa unakuja unamhurumia m.ke kwa kadri uwezavyo ila hawezi kusema Asante na hio ni tabia yake mna unaweza kumkumbusha ila siku ya pili the same
M wanawake wa hivi nawapotezea tu