Hivi kwanini nyie wake zetu hamsemi Asante

Hivi kwanini nyie wake zetu hamsemi Asante

Pole sana kwa madhila hayo
Ila usiseme wake zetu, maana kwa mfano mimi uwepo wangu tu huwa napewa shukran
Mke anatoa shukran na mimi namshukuru kwa yote anayofanya kama mama wa watoto

Kuwalea na kuwaangalia kutwa sio jambo dogo kiasi mimi niko kwenye mihangaiko
Kwa hiyo ni wajibu wangu pia kumpa kila kitu au kuwapa kila kitu wanachostahili

Ndoa ni Pana sana na inataka uvumilivu sana
Ila wanasema ukiona mwanamke anakuambia Asante jua kua hao sio watoto wako.

Una maoni gani katika hilo??
 
Unasubiri upewe shukrani bro ,hayo ni majukumu yako sio hisani na upewe ahsante
 
Kwa mwanaume kijana mwenye vision na focus ya kutajirika maishani, hutakiwi kbs kuwa na girlfriend.

Kama huwezi kuzua lust (nyege), basi kuwa na girl mmoja tu, tena kusex ni mara 1-2 kwa mwaka.

Jifunze sperm retention, epuka unnecessary liabilities. Build your empire!
Daaah nimeona sirjeff kaipost hii au kapata kwako mkuu?
 
Daah.

Yaani hata ufanye nini huwa wanakuwa kama ni haki yao vile.

Sura kaavu.
Mzee wangu nikimfanyia kitu chochote atanambia Asante

Ila sasa unakuja unamhurumia m.ke kwa kadri uwezavyo ila hawezi kusema Asante na hio ni tabia yake mna unaweza kumkumbusha ila siku ya pili the same

M wanawake wa hivi nawapotezea tu
 
Mzee wangu nikimfanyia kitu chochote atanambia Asante

Ila sasa unakuja unamhurumia m.ke kwa kadri uwezavyo ila hawezi kusema Asante na hio ni tabia yake mna unaweza kumkumbusha ila siku ya pili the same

M wanawake wa hivi nawapotezea tu

Ukisubiri shukrani utatengeneza magonjwa ya moyo maana mke wako akijua hilo linakunyima raha huwa ndiyo wanafanya zaidi
 
Yani ipo hivi mwanamke jambo unalomkataza ndiyo jambo atalifanya mara nyingi ili ukwazike kama linawakwaza, ishini maisha simple usingoje shukrani fanya unaloweza
 
Na tunaambiwa asante na pole kila saa na wake zetu tunacomment wapi?
 
Back
Top Bottom