Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Pole ndugu kwa mke wako kutokuwa na shukrani. Sisi wengine tunapewa shukrani tena ya kupigiwa magoti. Hayo magoti huwa yananipa deni la kuendelea kumpenda zaidi na kuzidisha mazawadi.Daah.
Yaani hata ufanye nini huwa wanakuwa kama ni haki yao vile.
Sura kaavu.