Hivi kwanini Tanzania kuna desturi ya kutaja makabila ya watuhumiwa wa umalaya

Hivi kwanini Tanzania kuna desturi ya kutaja makabila ya watuhumiwa wa umalaya

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Huwa pana ulazima gani mpaka kabila litajwe...

78ccfbb956cf7734e9cc072756adf1ec-jpg.2419045


687a3a8252b1f9cb53940207eb5417c2-jpg.2419046


Makosa mengine hamtaji kabila

screenshot_20220925-215048_1-jpg.2436661
 
Tanzania na ukabila ni kitu kipo sana ...wala sio kidogo sema Kuna makabila mengi hayana time na mtu ukichunguza makabila mia na kitu ila ya wenye sifa na ubaguzi ni manne tu basi...yangekuwa mengi basi amani ingeshavurugika na hayo makabila yaliyo na ubaguzi wengi ni washamba hawajiamini..

Sasa hapo ndo nn kuweka kabila la mtu .
 
KUNA MAENEO UNACHOKISEMA NI KWELI..!! Lakini usisahau Mrema alishawahi kuwa mbunge wa Temeke
1. Gambo ni mbunge wa Arusha na siyo mwenyeji wa Arusha.
2. Gwajima wa Kawe?
3. Ndungulile wa Kigamboni?
4. Kitila Ubungo?


List nindefu sana
.
 
Hahahaa yaani pale Uwanja wa fisi malaya kama 98% wanaotoa huduma kwenye vile vyumba ni Wahaya.

Sema serikali inawaonea sana hawa wauza K wana umuhimu wake sana kwenye jamii
Limama linaonekana lina pekecha kinoma, alafu nachopendea mama haya unajilia utakavyo hayana nouma, ni wewe tu na ni maelewa 😊😊
 
Back
Top Bottom