komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Mbunge dar ni nn bana..Mbona kitila mkumbo sio mzaramo na kapata ubunge dar? kiwia mchaga na alikuwa mbunge huko usukumani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge dar ni nn bana..Mbona kitila mkumbo sio mzaramo na kapata ubunge dar? kiwia mchaga na alikuwa mbunge huko usukumani
Kiwia alikuwa mbunge mwanza ila mnajisahaulisha, prof j mngoni na kawa mbunge morogoroUsitolee mfano Dar kwa sababu Dar hakuna kabila maalum ila ni eneo la makabila yote mchanganyiko.
By the way watu wa Dar na pwani ni watu peace sana huwa wanawapokea vizuri watu wa aina zote ukiongea nao vizuri.
na mwanza kwa kiwia mbona husemi?Mbunge dar ni nn bana..
Mwanza ni city pia...arusha vile vilena mwanza kwa kiwia mbona husemi?
Huyu hata sio mhaya kwa kabila ni mpare namjua fika huyu bi maza na sio mara ya kwanza kudakwa kunakipindi wakidakwa wanaenda kutoa uroda wanaachiwaHuwa pana ulazima gani mpaka kabila litajwe...
![]()
![]()
Hata Magdalena Sakaya aliwahi kuwa mbunge huko Kaliua.Kiwia alikuwa mbunge mwanza ila mnajisahaulisha, prof j mngoni na kawa mbunge morogoro
Hao wote hapo juu sio wabunge.1. Gambo ni mbunge wa Arusha na siyo mwenyeji wa Arusha.
2. Gwajima wa Kawe?
3. Ndungulile wa Kigamboni?
4. Kitila Ubungo?
List nindefu sana
.
Kuna mkikuyu alishakua mbunge Kisumu?Mwanza ni city pia...arusha vile vile
Mimi pia mkuu harufu ile inawafaa walevi mbwa na wale wala mabange, wewe km ni mtu mkavu huna hizo mambo ile harufu huiwezi km inataka kukutapisha sio kukutapisha, wamejifukiza maudi na madawa ya mvuto km chumba mganga wa kienyeji, niishie hapo Moderator usiifute hii comment iache hivi hiviKuna harufu yao flan hivi siipendi mno
Huku kila muhalifu anaepigwa picha hivyo wanataja kabila, mara nyingi hao kesi zao hawakai sana jelaHivi ina maana umalaya upo kwa kabila moja tu au nini sababu haswa ya nyie kutaja kabila?
Bwahaha!!akili zako hazipo mzee..Kuna mkikuyu alishakua mbunge Kisumu?
Acha kutetea ujinga wewe,Mtuhumiwa yoyote lazima wakujue kabila lako hata mwizi wa kuku laizma uandikishe kabila
Malaya hana kabila, malaya ni malaya tuHuwa pana ulazima gani mpaka kabila litajwe...
![]()
![]()
Naunga mkono hoja,,,, [emoji2]Hahahaa yaani pale Uwanja wa fisi malaya kama 98% wanaotoa huduma kwenye vile vyumba ni Wahaya.
Sema serikali inawaonea sana hawa wauza K wana umuhimu wake sana kwenye jamii