Hivi kwanini Tanzania kuna desturi ya kutaja makabila ya watuhumiwa wa umalaya

Hivi kwanini Tanzania kuna desturi ya kutaja makabila ya watuhumiwa wa umalaya

Usitolee mfano Dar kwa sababu Dar hakuna kabila maalum ila ni eneo la makabila yote mchanganyiko.
By the way watu wa Dar na pwani ni watu peace sana huwa wanawapokea vizuri watu wa aina zote ukiongea nao vizuri.
Kiwia alikuwa mbunge mwanza ila mnajisahaulisha, prof j mngoni na kawa mbunge morogoro
 
Mtuhumiwa yoyote lazima wakujue kabila lako hata mwizi wa kuku laizma uandikishe kabila
 
Huwa pana ulazima gani mpaka kabila litajwe...

78ccfbb956cf7734e9cc072756adf1ec-jpg.2419045


687a3a8252b1f9cb53940207eb5417c2-jpg.2419046
Huyu hata sio mhaya kwa kabila ni mpare namjua fika huyu bi maza na sio mara ya kwanza kudakwa kunakipindi wakidakwa wanaenda kutoa uroda wanaachiwa
 
We nyang'au unaacha kuomboleza huko magorofa yanaanguka na kuua watu unatuletea habari za malaya

Hivi ina maana umalaya upo kwa kabila moja tu au nini sababu haswa ya nyie kutaja kabila?
 
Huyu hata sio mhaya kwa kabila ni mpare namjua fika huyu bi maza na sio mara ya kwanza kudakwa kunakipindi wakidakwa wanaenda kutoa uroda wanaachiwa

Ha ha ha!!
 
1. Gambo ni mbunge wa Arusha na siyo mwenyeji wa Arusha.
2. Gwajima wa Kawe?
3. Ndungulile wa Kigamboni?
4. Kitila Ubungo?


List nindefu sana
.
Hao wote hapo juu sio wabunge.
Hao Ni wakuteuliwa au tuseme viti maalum Kama wanawake.
Gwajima tumeona kabisa mabox ya kura. Ubungo Kuna mtu wa kumpa Kitila kura?
 
Kuna harufu yao flan hivi siipendi mno
Mimi pia mkuu harufu ile inawafaa walevi mbwa na wale wala mabange, wewe km ni mtu mkavu huna hizo mambo ile harufu huiwezi km inataka kukutapisha sio kukutapisha, wamejifukiza maudi na madawa ya mvuto km chumba mganga wa kienyeji, niishie hapo Moderator usiifute hii comment iache hivi hivi
 
Mtuhumiwa yoyote lazima wakujue kabila lako hata mwizi wa kuku laizma uandikishe kabila

Ndio uanike kabila la mmalaya kwa bango....mbona mtuhumiwa wa ufisadi hamuweki ashike bango la kabila lake.
 
Hivi ina maana umalaya upo kwa kabila moja tu au nini sababu haswa ya nyie kutaja kabila?
Huku kila muhalifu anaepigwa picha hivyo wanataja kabila, mara nyingi hao kesi zao hawakai sana jela
 
Kuna mkikuyu alishakua mbunge Kisumu?
Bwahaha!!akili zako hazipo mzee..
Sasa kisumu si ni city mzee acha mkikuyu kuna mbunge mhindi, msomali we vp mzee


Watz ukabila upo juu sana katika maisha ya kawaida, kenya ukiachana na siasa ukabila upo chini sana..
 
Back
Top Bottom