Hivi kwanini Tanzania kuna desturi ya kutaja makabila ya watuhumiwa wa umalaya

Hivi kwanini Tanzania kuna desturi ya kutaja makabila ya watuhumiwa wa umalaya

Huyu hata sio mhaya kwa kabila ni mpare namjua fika huyu bi maza na sio mara ya kwanza kudakwa kunakipindi wakidakwa wanaenda kutoa uroda wanaachiwa
😂😂😂😂
 
Bwahaha!!akili zako hazipo mzee..
Sasa kisumu si ni city mzee acha mkikuyu kuna mbunge mhindi, msomali we vp mzee


Watz ukabila upo juu sana katika maisha ya kawaida, kenya ukiachana na siasa ukabila upo chini sana..
Hapa bongo sikatai ila makabila ya ubaguzi yapo kama 5 kati ya mia moja na kitu
 
Mtuhumiwa yeyote anapotoa maelezo kituo Cha polisi
Anataja majina,sini , kabila,umri,anakoishi .namba ya simu .nk
 
Mtuhumiwa yeyote anapotoa maelezo kituo Cha polisi
Anataja majina,sini , kabila,umri,anakoishi .namba ya simu .nk

Sasa hilo bango mshikishe na watuhumiwa wa ufisadi sio malaya pekee yake....
 
Utathibitishaje umalaya wa mtu na wanakubaliana kufanya tendo la ndoa kwa hiari yao wenyewe sasa hiyo inaihusu nini mtu mwingine au hata serikali.

Na hata kama ni mke wa mtu si kaamua mwenyewe sasa ni juu yako mumewe kuamua uendelee naye au uachane naye.

Kama serikali inaona hilo ni kosa basi itafute kiini cha tatizo ndio ilitafutie ufumbuzi lakini kumuwekea mtu bango kifuani namna ile ni udhalilishaji maanake wahalifu ni wengi wakiwemo wala rushwa na mafisadi serikalini lakini hatujaona wakifanyiwa hivyo.
 
Wahaya ndio wabobezi wa hizo KAZI according to AFUTATU [emoji1787][emoji1787]
 
Ivi wanawadhibitisha vipi kama wamefanya umalaya.
 
Huwa pana ulazima gani mpaka kabila litajwe...

78ccfbb956cf7734e9cc072756adf1ec-jpg.2419045


687a3a8252b1f9cb53940207eb5417c2-jpg.2419046
Ukiona mwanamke ana mdomo mweusi.. vaa hata 3
 
si umalaya tu makosa yaote ya jinai! Sioni tatizo, kwenye ujambazi pia Wachagga na vijana wa Pwani hawakosi!
 
Mtuhumiwa yeyote anapotoa maelezo kituo Cha polisi
Anataja majina,sini , kabila,umri,anakoishi .namba ya simu .nk

Mbona wezi kama huyu hamtaji kabila

screenshot_20220925-215048_1-jpg.2436661
 
Usitolee mfano Dar kwa sababu Dar hakuna kabila maalum ila ni eneo la makabila yote mchanganyiko.
By the way watu wa Dar na pwani ni watu peace sana huwa wanawapokea vizuri watu wa aina zote ukiongea nao vizuri.
Hawakusoma
 
Back
Top Bottom